Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Mama la mamaa , mama la wote mahondaw .. unachosena kweli, wanakuwa hawajiamini na wengine wanakuwa kama malaya malaya ( samahani sipendi kabisa kutumia hili neno ila imenibidi sina neno lingine 🥲).. Ukiona mwanaume malaya malaya atulii lae nae mbali anaweza kuleta mamikosi ndani ta nyumba nje tu ya magonjwaa alafu auto mnakuwa mnadhaurika 😅😅😅Baba pasta binafsi sitakagi msongamano kabisa na sipendi dharau za rejareja.... Yani mfano nijue baba pasta unatupanga waziwazi weeeeeeeehhh.. mie nehi nehiii!!
Hao wanaochukua Watu wa watu nakujionesha binafsi naona huko ni kutokujiamini yani hawakuamini kama wanaeza toka nahuyo mtu possibly walijitahidi sana kutaka kupindua meza kipindi hiko ila walishindwa sasa mmebreak up ndio mtu anaona tu ajiegeshe hapo no way!
Nimesema possibly




