Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Familia zetu hisi za kiswahili Zina maneno maneno sana. Siku ukishindwa kuwasongea kijiugali cha watu wa tano utasikia Kaka yetu kapigwa hapa, hakuna mke kabisa. Kwaiyo Ni muhimu kuzingatia
Mimi siku nyingine ugali huwa unanishinda.
Haimaanishi kwamba sijui,ila tu ni siku hazifanani.

Sasa wakiangukia siku mbaya ambayo ugali umenishinda kusonga ndio basi tena

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Acha tu
KFC na Pizza hut ni junk food tu sio chakula cha maana .

Siku hizi zipo hadi mashine ya kukanda ngano na inatoa chapati vizuri .. sema hizi appliances zinatusaidia na kutuharibu pia
Mbaya zaidi ukweni uko ukienda hata kama wanauwezo wa gas; mkaa ila utakuta wanakupeleka kwenye jiko la kuni ukaungue na Moshi si huwa wanaamaana gani? Au ndio huwa mnatafutiwa sababu
 
Mimi siku nyingine ugali huwa unanishinda.
Haimaanishi kwamba sijui,ila tu ni siku hazifanani.

Sasa wakiangukia siku mbaya ambayo ugali umenishinda kusonga ndio basi tena

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Memo zitasambaa ukoo mzima, tumelishwa ugali mbichi tumelishwa ugali. Na hapo Ni kilugha tu mtoto wa watu hunasi hata neno mmoja
 
Back
Top Bottom