Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nilale mie
Tunaoa na kuolewa ili tupate wakupelekeana moto. Haya mambo ya sijui nini nini ni by the way tuu.

Nyie sii mnalalamika kuwa wanaume hawataki kuoa....why? Becoz kile kitu muhimu na kikubwa kwenye ndoa tayari kinalatikana kwa urahis mtaani.

Ndoa ni kugegeduana kwa 90%
Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B 🤣🤣🤣au kwakuwa sinatako ndo sieleweki😆
 
Ngoja nilale mie

Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B au kwakuwa sinatako ndo sieleweki
 
Ngoja nilale mie

Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B 🤣🤣🤣au kwakuwa sinatako ndo sieleweki😆
Kumbe huna tako 🤣🤣🤣🤣 ndio maana hatuelewani 🤣🤣🤣🤣
 
money is tangled up with love, mkiwa kwenye mahusiano lazima mtakua mna plans za baadae, mtahitaji kupanga nyumba, kujenga, kuwa na watoto, kwenda vacations, kununua magari n.k, ni ngumu kutenganisha hivyo vitu kwa hizi nyakati.
Ni sawa lkn yote huja baada ya kupendana napesa zinatafutwa na plans zinawekwa hapo tayari tushatenganisha maanayake mapenz yalitangulia hapo so sijui labda mm naelewa vibaya
 
Ngoja nilale mie

Unahamisha mada ulisema wanawake wanatka wenye hela na wanaijua kupelekeana Moto sio kupenda unatka unitoe kwenye reli na mm sijakataa Ila love at the first time sio pesa wala kupekeana Moto nikakujibu kupenda ni hisia tu mzabzab jamn ulisom lasaba A au B au kwakuwa sinatako ndo sieleweki
nimeshindwa kuvumilia shangazi, khaaah
 
Back
Top Bottom