Kwani mkongo shida yake nini...watu wanatumia viagra mbona hamuwasemiUtelezi ndo muupakie mkongo🤣🤣🤣
Kabisa
Kwani mkongo shida yake nini...watu wanatumia viagra mbona hamuwasemiUtelezi ndo muupakie mkongo🤣🤣🤣
Kabisa
Mapenz hisia ingkuwa ni kupelekeana Moto kunawanaume wangekuwa single had wanafariki,somtym tunaset akili tuamini hivo lkn love is pure sio hela sio kupelekeana MotoBasi itakuwa wanawapelekea moto vilivyo na uhandsome wao
Hatujasema kuwa wanawake wote ni gold diggers. Point hapa ni kwamab women look for security that money provides. Its that simple. Sio kwamba mwanamke anapenda. Mwanamke anamuheshimu mwanaume kwa sababu ya hela aliyokuwa nayoSio wanawake wote ni gold diggers na Kama ingekuwa hivyo basi ndoa nyingi zingefeli ..kwa hali jinsi ulivyo watu wanavumiliana kwa shida na raha
Ke kuchepuka sio pesa tu kuna other factors pia zinapelekea yeye kuchepuka Kama kutoridhishwa na mtu wake , usaliti , kutopewa thamani , vishawishi vya hapa na pale
Hiyo familia sidhani pia Kama watoto wamelelewa vyema hawawezi kumdharau baba yao kisa pesa ..
Heshima ni kitu cha msingi sana
Love will always prevail
Wewe ujue kuna wanawake wanaeza penda bila kujali sana una kitu gani. Mapenzi si hela tu.Turudi kuleeeee eden kupata jibu la swali lako.....je mwanamke alikuwa hajapewa kila kitu lakini akadanganyika kwa kitu kidogo
Wew ulikuwepo huko Eden 😂😂Turudi kuleeeee eden kupata jibu la swali lako.....je mwanamke alikuwa hajapewa kila kitu lakini akadanganyika kwa kitu kidogo
Wee wacha zako bwana love sio kupelekeana moto🤣🤣🤣🤣 now i bliv wee sio mwanadamu ni robot. Ndoa henyewe iliki ikamilike lazima mgegeduaneMapenz hisia ingkuwa ni kupelekeana Moto kunawanaume wangekuwa single had wanafariki,somtym tunaset akili tuamini hivo lkn love is pure sio hela sio kupelekeana Moto
Hatujasema kuwa wanawake wote ni gold diggers. Point hapa ni kwamab women look for security that money provides. Its that simple. Sio kwamba mwanamke anapenda. Mwanamke anamuheshimu mwanaume kwa sababu ya hela aliyokuwa nayo
Hao wanawake ni kumi kwa mmoja tena hapo mimependelea...ni one in a millionWewe ujue kuna wanawake wanaeza penda bila kujali sana una kitu gani. Mapenzi si hela tu.
🤣🤣🤣🤣 Asilimia kubwa itakuwa hawana tako....ebu fanya uchunguzi wakoTayari una perception mbaya juu ya wanawake
Ah ukishapenda hutoangalia mambo ya security wala nini .. wangapi walitamani kupata wanaume wenye pesa ila wameangukia kwingine .
Umekubali lakini kama wapo.Hao wanawake ni kumi kwa mmoja tena hapo mimependelea...ni one in a million
UmeanzaAsilimia kubwa itakuwa hawana tako....ebu fanya uchunguzi wako

nilijua tu hii kitu lazima utaileta hapa.Hahahaha aisee ,sijui kuhusu hiliAsilimia kubwa itakuwa hawana tako....ebu fanya uchunguzi wako

Sijaktaa ili iwe ndoa lazima tendo la ndoa lihusike lkn na mm Sijasema lisifanyike kabisa lkn sio challenge ya kumzuia mtu kupenda bhnaWee wacha zako bwana love sio kupelekeana moto🤣🤣🤣🤣 now i bliv wee sio mwanadamu ni robot. Ndoa henyewe iliki ikamilike lazima mgegeduane
Sasa kwani uongo bwana...sii sawa na sie wanaume....wengi tungependa kumpelekea moto paula...ila ndio hivyo hatuna hela🤣🤣🤣🤣🤣Umeanzanilijua tu hii kitu lazima utaileta hapa.
🤣🤣🤣🤣Kha🤣🤣🤣🤣 Asilimia kubwa itakuwa hawana tako....ebu fanya uchunguzi wako
Yan Nimecheka balaa😁Umeanzanilijua tu hii kitu lazima utaileta hapa.
Tunaoa na kuolewa ili tupate wakupelekeana moto. Haya mambo ya sijui nini nini ni by the way tuu.Sijaktaa ili iwe ndoa lazima tendo la ndoa lihusike lkn na mm Sijasema lisifanyike kabisa lkn sio challenge ya kumzuia mtu kupenda bhna
money is tangled up with love, mkiwa kwenye mahusiano lazima mtakua mna plans za baadae, mtahitaji kupanga nyumba, kujenga, kuwa na watoto, kwenda vacations, kununua magari n.k, ni ngumu kutenganisha hivyo vitu kwa hizi nyakati.Wewe ujue kuna wanawake wanaeza penda bila kujali sana una kitu gani. Mapenzi si hela tu.
Kuwaonea kivipi ndio ukweli huo...Hahahaha aisee ,sijui kuhusu hili
Mnatuonea sasa ?![]()