Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Hapo lazima upige nduruu gari bovu, utamu wa RR iwe within warranty kitu ambacho bongo ni rare sana.😅😅 Buyer wa kwanza katoa 400 millions, anakuja mtu gari hiyo hiyo anachukua kwenye mnada kwa 40million, unafikiri ataweza sasa kuhudumia hapo lazima apige mayoyeee 😅😅😅 Zisingekuwepo namba A zinadunda humu
mitaani kama mabovu





