ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,364
- 118,743
Aisee!Ooh zinaweza zisiwe kubwa zikawa medium size
Ona kama hii nilisukaga muda fulani ..unakuwa zako mwepesi tu
View attachment 2227252
Aisee!Ooh zinaweza zisiwe kubwa zikawa medium size
Ona kama hii nilisukaga muda fulani ..unakuwa zako mwepesi tu
View attachment 2227252
Sijareply 😂😂😂😂😂Na mimi niangalie watsap yangu?
Infiniti habari ingine imekaa kibabe sana nayo.. hapo inabidi Bwana atendee muujiza mbele itangulie RR moyaaa hivi alaf FJ then Infiniti mambo yanakuwa 🔥🔥🔥Mwenzake huyu Infiniti...
Yeah! Mibaraka na iendelee....
Fortnox wapi? I hope hajambo huko aliko. Ngoma zake zote mbili nazikubali kinyama yaani...
Tandam hilo, safi sana mkuu 😜
Asante mama juniaMdomo![]()
😅😅 Buyer wa kwanza katoa 400 millions, anakuja mtu gari hiyo hiyo anachukua kwenye mnada kwa 40million, unafikiri ataweza sasa kuhudumia hapo lazima apige mayoyeee 😅😅😅 Zisingekuwepo namba A zinadunda humuNa hapo likihaibika anatoka anatangaza RR ni gari mbovu sana, wanatukosea sana.
Umelitamanii eeh 😅😅😅Tandam hilo, safi sana mkuu 😜
Ulipendeza
Mimi naona kama mzigo...
Ngoja nijarubu makubwa zaidi..hizo bado naona ndogo..nitachoka mapema maana najisuka.
Nasubiri game huku nikiendelea kusoma kitabu cha jinsi ya kumwelewa mwanamke. Terrible!



Eeh hapana 😂😂Umelitamanii eeh 😅😅😅
Asante shangazyangu mzungu
Niambie mwalimuMwanafunzi
Tuombe uzima Baba Mchungaji. Mengine yote ni madogo...Infiniti habari ingine imekaa kibabe sana nayo.. hapo inabidi Bwana atendee muujiza mbele itangulie RR moyaaa hivi alaf FJ then Infiniti mambo yanakuwa
Fortnox majukumu ya kitaifa itakuwa yame mkamata.. anaonekana kwa kuvizia vizia





Mimi ni muoga sana wa mabutu ya kusokota uwiiiOoh zinaweza zisiwe kubwa zikawa medium size
Ona kama hii nilisukaga muda fulani ..unakuwa zako mwepesi tu
View attachment 2227252
Tuombe uzima Baba Mchungaji. Mengine yote ni madogo...
Tusimame katika haki; na tuombe Mungu wetu Asituache. Tusaidie wenzetu wenye shida tunapoweza. Tuombe msamaha tukikosa (haijalishi kama tutasamehewa ama la!) na siku yetu ikifika tuondoke kwa amani
Ungali mdogo sana lakini kwa muda mfupi niliokufahamu hapa you are going places - not only materially but also spiritually. The devil will throw every type of weapons at you lakini kwa Neema za Mungu utamshinda na kufikia destiny yako.
Barikiwa sana Baba Mchungaji![]()
Na huo mwili wako huo, angalia usirudi kutoka Botswana ukiwa kwenye jeneza young bro. Ukihitaji msaada wa kiufundi sema usione aibu






Wow; AMEN.Tuombe uzima Baba Mchungaji. Mengine yote ni madogo...
Tusimame katika haki; na tuombe Mungu wetu Asituache. Tusaidie wenzetu wenye shida tunapoweza. Tuombe msamaha tukikosa (haijalishi kama tutasamehewa ama la!) na siku yetu ikifika tuondoke kwa amani
Ungali mdogo sana lakini kwa muda mfupi niliokufahamu hapa you are going places - not only materially but also spiritually. The devil will throw every type of weapons at you lakini kwa Neema za Mungu utamshinda na kufikia destiny yako.
Barikiwa sana Baba Mchungaji![]()
Mimi Nimewahi suka mara Moja tu maishaniOoh thank you ... Jaribu makubwa pia
Nishavizoea na mwaka huu sijasuka vitunguu
Hizi si nyingi ona hapo kwenye kidoti hazijaa unaweza hadi ziachia hapo .
Nilikuwa nasubiri comment yako MtumishiNa huo mwili wako huo, angalia usirudi kutoka Botswana ukiwa kwenye jeneza young bro. Ukihitaji msaada wa kiufundi sema usione aibu
View attachment 2227265

