Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Naziogopa zile nywele.Ooh vyema
Mfano vitunguu huwa vinakuza sana nywele
Bora nisuke tu za Uzi wa kawaida.
Naziogopa zile nywele.Ooh vyema
Mfano vitunguu huwa vinakuza sana nywele
Umeliona gauni lako ehhh?? 🙂
Rekebisha sentensi ya mwisho, iko na utataWeh lile tege lilivyo hadi mimi naliogopa
Omba tu kitu kingine ila siyo mguu![]()

Chaaaa😂😂😂😂Rekebisha sentensi ya mwisho, iko na utata![]()
🫡🫡🫡 sijawai ongopea wewe hata siku moja .. yani wewe bakora hatari ni 🔥🔥🔥We nijaze tu ☺☺
Langu la siku zote😍Umeliona gauni lako ehhh?? 🙂
Anha kumbe basi ,suka za uziNaziogopa zile nywele.
Bora nisuke tu za Uzi wa kawaida.
Mdomo😍🔥🔥🔥🔥🔥Nimeirudia mwalimuView attachment 2227233
Zile zinahitaji ile Diclopar ya kuchua🤣Anha kumbe basi ,suka za uzi
Mimi nasukaga .. nakunywa tu Panadol au napaka gel
Suka vile vya kusuka kuanzia chini sio za kusokota. Au sukia Uzi, nao unakuza nyweleNaziogopa zile nywele.
Bora nisuke tu za Uzi wa kawaida.
Nimeselfika alfajir kabisa mwalimu
Sophy weeeeNimeirudiaView attachment 2227236
Hata hii ina utata mwingi, siku nyingine nyoosha maelezo usilete utata kwenye mazungumzo.Chaaaa
Mjomba
Namaamisha picha tu ya sehemu nyingine nje na mguu wangu wa tege
Imebidi nicheke ☺🤣🤣🤣🤣
Ukimaliza kusuka unakunywa panadol? Aisee...nyie watuAnha kumbe basi ,suka za uzi
Mimi nasukaga .. nakunywa tu Panadol au napaka gel


Hizi gari kwenye engine oil maintenance inapaswa umakini, weka oil quality na kiasi kinachopaswa na kwa wakati, kukaa muda mrefu ni shida sana, mfano RR sport V8 inakufa turbo mapema kama unafanya wrong engine oil maintenence, sasa cost yake kutengeneza ndio utapenda, kwa maana turbo ya RR unatoa body yote(kwa experience niliyonayo na model nilitumia), thats why wanapiga kelele sio reliable.Hii inaweza ongeza credit mambo ayapendayo Shimba Ya Buyenze View attachment 2227215View attachment 2227216View attachment 2227217
Ah lazima ni mwendo wa kulalia komwe tuZile zinahitaji ile Diclopar ya kuchua
Ila naonaga kama zinakuwa mzigo kichwani.
HaaImebidi nicheke
Ndo hilo hilo...sema limekuwa fupi kidogo maana ilibidi nilikate.
