Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_2022-05-16-21-41-15-60_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mabawa yapo kama kawaida. Ndo haya yananing'inia....
Dah
Nimechanganya,[emoji1787]
Nilitaka kusema umeweka mabawa??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila hilo gauni zuri na kapose ulikoweka aisee mpiga picha alikupatia.
Ndiyo picha yangu Bora ya muda wote..nimeitunza hadi Leo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Baba Mchungaji pulizi niwache!

Nina majirani hapa sijui wanataka kunitoa roho hata sielewi. Alianza huyu wa mkono wa kushoto akavuta jipyaaa jeusi. Wa kulia naye naona kaamua kujibu mapigo kavuta jipyaa jekundu...Yaani mpaka FJ Cruiser yangu naiona kama mkokoteni yaani. Ila Mungu Yupo. Nahitaji sana sala zako Baba Mchungaji ili mibaraka zaidi na zaidi inishukie na mie ili hatimaye niepukane na manyanyaso ya hawa majirani wasio na huruma [emoji1545][emoji16]

20220430_145402.jpg
 
Hata hii ina utata mwingi, siku nyingine nyoosha maelezo usilete utata kwenye mazungumzo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu ile homuweki hukumaliza mjomba.
Ile ya kutawanya.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom