DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Hizo ni tamaduni za kimagharibi mkuu.Ndoa za mitala hazikuhusu
Hizo ni tamaduni za kimagharibi mkuu.Ndoa za mitala hazikuhusu



unajisahaulisha ilikuwaje eenh??


but it was nothing personal you know
Wala sikumind!
Nilishangaa tuu nilijibiwa kwa gazeti, halafu nikajibu sawa mkuu!
Sema ukweli bana
alikataa friendly match?? Huyo mwanaume inabidi awekwe kwenye kitabu cha guiness cha rekodi za dunia,, mwanaume wa kwanza kuwahi kutongozwa na mwanamke na akakataa..
![]()




Anafika mikoanii?!
Wee! Ulikosa nini?Nzuri sana nilikula ban kama miezi miwili naa
Lazima aringe kidogo, akikubali haraka ataonekana cheap



Naelewa mitazamo yao dear ila kila mtu ako na misimamo yake mamii
Karibu sana jamani!!
Mwambie afafanue hapo aliposema ana marafiki wachache wakati huo huo yeye ni mtu wa watu
Nimeshatuma mkuu. Nitume tena ?Wewe zako umeshatuma eenh??
Hapana mkuu sio lazimaMkuu kwani kila mtu anayekukubali lazima awe rafiki yako eti jamani??
Mbona umeniweka wa kwanza?!
Mie kwetu wa mwisho jamani!



kweli mwaya usije ukachanganya madesa bure
HamnaSema Kuna watu nawapiga chenga yaani..naogopa kuchanganya mafile hapa
![]()
Njoo pm nikwambie. Hapa siwezi kusema.