Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
MmmhhhKwenye ile inaumisa koo mpaka inafumba macho ndo inapita
MmmhhhKwenye ile inaumisa koo mpaka inafumba macho ndo inapita
Abeee kaka...Hivi dada..??
Napajua sana jamani!Si unapajua maana najua wew ni mwanga..![]()
Mkuu mbona umepaniki?mbona una hasira sanaMkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Huna uwezo wa kunitumia hiyo pesaMkuu nakujibu kiurahisi kabisa
Darasa la saba nilimaliza kitambo
1. Nina Bachelor degreee moja
2. Master degree 1
3. Niliamua kusoma Phd, udsm 2015, nikaamua kuacha katikati
4. Nina postgraduate diploma in taxation 2018
Kisha
1. Nimejiajiri
2. Nimeoa
3. Nina watoto
4. Nimeajiri
5. My life is good actually mtu akisema vyuna vimekaza namuona anazingua
Na pia...
sina marafiki wengi ila ni kijana mla bata sana, mtu wa watu na sina tatizo na mtu.
Nimejikuta napenda sana kujiachia JF sababu ni sehemu ambayo nnachati na marafiki pamoja na maroboti kama wewe ambao mnakaa na kuanza kuumia moyo namna mtu anavyoishi...
Mwisho...
Nitumie namba yako niku bless hata 50k jioni yako iende vizuri fool
Tusi kubwa sana hilo naomba tengua kauli.
Nikupm bosiMkuu nnamsubiria atume namba, ipo 50k na kwako pia mda huu ni saa 18:39 kabla sijaondoka ofisini, tuma nambaView attachment 1251078
Mimi ni R. C
Ooh kumbe?? Basi Mungu akipenda nitajuana na baadhi ya watu humu JF ofcourse kuna watu wengi tu ningependa kujuana nao humu ila aibu zangu tu ndiyo zinanikwamisha!!
Inabidi nimfwate Dom
Nzuri sana nilikula ban kama miezi miwili naaHabari za siku jirani yangu
Nakaa humu mdogo mdogoView attachment 1251213



wewe ni 'waifu matirio'
Hahahahahaha
Acha mimi niombe kazi tuu! Nikiomba hela zitaisha jamani

wewe tena??Utanitajia pm
Maana najua mimi nilikuwa mmoja wao!
Napajua sana jamani!
Hebu geuka nipo pembeni yako

Ndiwooo
Mdote
Ukipata usinisahau dada
wewe ni 'waifu matirio'










Hahahahahahawewe tena??
Ulianza lini na leo iwe mara ya pili??