Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yeah ni kweli kiuhalisia iwe mwanamke au mwanaume akitongozwa hapo hapo akakubali anakuwa cheap ila si unajua tena mitazamo ya jamii yetu hii mwee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ningemuona cheap kwa kweli, yaani akubali siku hiyo hiyo jamani!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sasa pm si umefunga??
Hivi kumbe bado unakumbuka ile siku uliyonimaindi enh??

Mie hata sikuuliza kwa ubaya ila ulishindwa kunielewa tu but sikuchukia ndiyo maana niliendelea kukutania[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sikumind!

Nilishangaa tuu nilijibiwa kwa gazeti, halafu nikajibu sawa mkuu!
 
Nahisi haujanizidi mimi katika maisha yangu sipendi kuomba sijui kwanini,, yaani umri huu tu eti naonaga aibu kuwaomba hata wazazi wangu hela japo wao wananiona bado mtoto wananiambia zikiisha niwaambie..
Mimi hata vizinga siwezagi kupiga!!
Naweza ishiwa naanza kulia mimi, naogopa kuomba!!
 
Back
Top Bottom