mambo ayapendayo mfalme🔥🔥🔥#facebookmemories #2010
View attachment 2224644
Umevurugwa na nini mwalimuAisee picha imenipita, kwa sababu akili haijakaa sawa nitakuja kukudai selfie, ngoja nipumzike.
Yan mm Nina Nini sijui zinanipita tu nikija kujaribu hola nipe siku na muda nitandike mkeka humuhumu selfika
mkuu tuna hujumiwa sana hapaa😅Aisee picha imenipita, kwa sababu akili haijakaa sawa nitakuja kukudai selfie, ngoja nipumzike.
Umevurugwa na nini mwalimu
Tunasifia
Wanafaudu wengine
nyie mna Mambo kumbe kunawatu wanafaidi humu na hawasemiTunasifia
Wanafaudu wengine
Kazi iendelee..View attachment 2224653
Ndio unachekanyie mna Mambo kumbe kunawatu wanafaidi humu na hawasemi
Post M-alone na hao wabaya sanaaa ila acha tuwe wapole tutagawana majukumuuuNyie ndio mnatafutwa na kina Post M - alone 😂😂😂🤣🤣
haya ndio mambo wafalme wana ya heshimu kama pumzi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥View attachment 2224665
Usiku mwema wapendwa!!
Pole sana sanaYan mm Nina Nini sijui zinanipita tu nikija kujaribu hola nipe siku na muda nitandike mkeka humuhumu selfika
Yaani wanaofaidi hizi pisi za selfika ni vishkaji flani huwezi vielewa, kwanza havi comment wala kuchangia chochote hata picha ila vipo vinafuatilia uzi kwa utaratibu sana na anashushia kinywaji.
Kuna vile vizee kwenye siasa kule ni moto wa kuotea mbali.
Sisi humu tunapiga kelele na kusifia pisi mpaka mishipa ya shingo inatutoka halafu hatuambulii chochote, _King tufanye maandamano ya amani hii sio fair kabisa.
Kuna vimtu ID inasoma mwaka 2009 halafu ana message kama 500 tu, sio poa,
Pisi zinaruka na jamaa hawaeleweki kabisa, kwanza comments zao tu unashindwa kumuelewa, lakini kule PM i bet humshindi maneno.
Mie ndio naamka my dia. Usijali kabisa nipo hapa.Leo usingizi umekuja mapema dear nalala badae wakijilipua fanya kunisevia !
Mie ndio naamka my dia. Usijali kabisa nipo hapa.