Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hujajua tu pa kuwashika mkuu au labda huna nyota😉 🤣🤣🤣😂😂!!!
Sio mimi, tumefanya kikao PM na wenzangu na wao wamenialika nimekutana na vitu vizito sana, nikasema haiwezekani lazima nije niwasilishe ukweli ujulikane, tulikuwa na meeting PM nikawa invited kama mzungumzaji.
 
Sio mimi, tumefanya kikao PM na wenzangu na wao wamenialika nimekutana na vitu vizito sana, nikasema haiwezekani lazima nije niwasilishe ukweli ujulikane, tulikuwa na meeting PM nikawa invited kama mzungumzaji
Mwenye kisu kikali wadogo zangu mkanoe visu vyenu jamani!!😂😂🤣🤣
 
Plan ninazo mbili tutajadili mkuu, hakuna kitu kitashindikana, yaani sie tunapiga kelele mpaka pisi zinafunguka zinatuma vitu adimu, halafu vijamaa vinamalizia.
😅😅😅😅😅 Na tunajuhudi sana, sio kazi rahisi tunayofanya aisee
 
Back
Top Bottom