Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,192
- 183,007
Mkuu unanichekesha kama chizi huku ujue!!!🤣🤣🤣🤣Plan ninazo mbili tutajadili mkuu, hakuna kitu kitashindikana, yaani sie tunapiga kelele mpaka pisi zinafunguka zinatuma vitu adimu, halafu vijamaa vinamalizia.