Ni kweli mkuu.😅😅😅😅 hii ni W16 Bi Turbo iliyomo kwenye buggat new model
Nimeiona shangazi, huwa nagongea kwa baba Mchungaji siku mojamoja.
Nilimaanisha boots za kupanda hivi na sio Travolta moka za wakuu
View attachment 2221573


Umesahau unavyowapondaga wakaka wa watu wakianza kulalamika hawapendwi halafu hawajui kwanini,kumbe tatizo ni wafupi halafu wanaweka vigezo wanataka demu mwenye chura![]()





Umesahau unavyowapondaga wakaka wa watu wakianza kulalamika hawapendwi halafu hawajui kwanini,kumbe tatizo ni wafupi halafu wanaweka vigezo wanataka demu mwenye chura![]()









khaaaaahJamani sasa mtu akioa ndio asisifiwe.Ili iweje
Kawowa huyo
Mimi tu bado
Eeh hatuna habari na milonjo yetuHizi kali sana hata mimi natupia hii...
Kuna muda navaaga buti za kiume sijali wala nini![]()



Ahsanteeee....
Pandisha juu nione km umechomekea au vipi.









Charty begins HomeHawa watamtetea ndugu yao,hawaaminiki hata kidogo![]()
shangaziiiiii


Wee kapendeza bana acha zako coca!Pandisha juu nione km umechomekea au vipi.
Ila kwa level ya casual bado sanaa, ongeza unyunyu tena
![]()
_King ndio kakupa sifa uliyonayo hizo ni pistoni 16 sio nane kama nilivyosema halafu turbo ya ukweli.Unanijaza mkuu!😉
Huwaambia kitu.Uwakute busy kavaa shati la beach na kinjunga wee![]()









Mkuu kwenye outfit hatuwezi fanana, mwisho wa siku unakutana na anaependa mapigo yako.
Mkuu wewe ndiye ulikuwa unatafutwa.
Wee kapendeza bana acha zako coca!








shouzzz kapendeza ndyo, ila kwa levek ya casual bado.