😅😅😅😅 ni msosi A na msosi BHilo pozi, ni msosi upi mpishi au?
Utulivu tafadhalimjomba anaanza miyeyusho sikuhizi..
Na nani mkuu? Sina hiyo taarifaMkuu wewe ndiye ulikuwa unatafutwa.
SheendwaaTokaaaa![]()
Usinibanie hiyo miongozo jaman hebu uwe unanitag aise 😁😁Naanzaje Kwa mfano kukutag
Oya dogo mim mambo ya casual sjajui,mim ni mtu wa chimbo sana but nikiamua natoka kama hivyoshouzzz kapendeza ndyo, ila kwa levek ya casual bado.
Unyama sanaaa shangazi, hizi anapenda sana kaka angu.View attachment 2221633
View attachment 2221634
Hizo ni LUGZ zinafika karibu na magoti[mention]_King [/mention] [mention]Heaven Sent [/mention] sina habari![]()
Aseeeeh japo kachomekea huyu kanoga bhana, niache uongo, uwiiiio mtamu huyo kaka lol.Kuna hili pozi lingine
![]()






Unyama sanaaa shangazi, hizi anapenda sana kaka angu.
Yaan ameshazoea, na dada angu pia. Wanapenda mnooo.
ShangaziiiiiiiiiiiiiiiiiiiView attachment 2221633
View attachment 2221634
Hizo ni LUGZ zinafika karibu na magoti[mention]_King [/mention] [mention]Heaven Sent [/mention] sina habari![]()



Oya dogo mim mambo ya casual sjajui,mim ni mtu wa chimbo sana but nikiamua natoka kama hivyo





hebu nigawie faranga za mgodini huko.? Yani unapiga mavitu kama hayo unakuwa poa tu.View attachment 2221633
View attachment 2221634
Hizo ni LUGZ zinafika karibu na magoti[mention]_King [/mention] [mention]Heaven Sent [/mention] sina habari![]()
Duuuuh aseeeeh.Hata mimi nazipenda sana zina miaka karibu 10 na zaidi...
DuhAseeeeh japo kachomekea huyu kanoga bhana, niache uongo, uwiiiio mtamu huyo kaka lol.![]()
anhaa kumbe ulikuwa unaangalia nguo, mi nilikuwa namaanisha hilo ni pozi maarufu sana kwa sisi wanaume haswa uwanja wa ugenini ukiwa unasubiri pisi itoke bafuni.Aseeeeh japo kachomekea huyu kanoga bhana, niache uongo, uwiiiio mtamu huyo kaka lol.![]()
Rwamgaza,karibuhebu nigawie faranga za mgodini huko.?
Uko mgodi upi? Kahama kule kagongwa,. Au geita ile ya nyamalembo,. Au katoro ile kahumwa sijui.