Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Jirani nategeshea msosi wa bureee hapa 😅😅😅Tukaushe jirani![]()
Jirani nategeshea msosi wa bureee hapa 😅😅😅Tukaushe jirani![]()
Hahaha,
Unajua kuna namna napenda kuvaa, nisiwe kwenye ujana sana na nisewe kwenye ukatekista sana ila naweza ingia popote.

Basi nimejifunza kitu hapa, najuaga Travolta vile vya kiboss vile wanapenda sana wanaumw wa dar es salaam na stuff wa bank![]()
Kula jirani kula
ndiioo...Jirani nategeshea msosi wa bureee hapa 😅😅😅View attachment 2221608
big leo hajatokea kabisa pande hii
Hilo pozi, ni msosi upi mpishi au?Jirani nategeshea msosi wa bureee hapa 😅😅😅View attachment 2221608
umekoment ki Wigelekelo wigelekelo🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Hilo pozi, ni msosi upi mpishi au?
Ndani nimevaa sharti ndo nililochomekea,nje Sweta,Pandisha juu nione km umechomekea au vipi.
Ila kwa level ya casual bado sanaa, ongeza unyunyu tena
![]()
Ahsante ,machimbaji Huwa tunapendeza tukiamua


Hilo pozi nalifahamu sana, na ni maarufu, wanaume wote tunalifahamu.umekoment ki Wigelekelo wigelekelo🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!