Selfika na JF: Snap it. Show it

Msamaha hutolewa kwa mwenye kuomba msamaha. Msamaha hutanguliwa na kukiri makosa na kuomba radhi badala ya kiburi cha dhambi, upotovu na upotevu. Wakati mwingine hukumu na adhabu ni msingi wa haki, ukweli, nidhamu na maadili. Kukosea ni ubinadamu, kujikosoa ni utu. #UkurasaMpya
 
Kutoa msamaha ni kamzozo flani hivi kagumu sana
 
Msamaha? Which? Where? Who?
Si tulikubaliana hakna kusamehe? Kila mtu ashike 20 zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…