Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,745
- 182,821
Sasa wewe sema ni mikwara.Mama mkwe una mkwara...
Sasa wewe sema ni mikwara.Mama mkwe una mkwara...
Hapa numewakuta vijana wakiandika maneno hata sijayaelewa nduguUnaandika nini eti jamani
Huyo ulomuongelea ndio simfahamu.kwani auntie si ndio aweza kuwa mama mkwee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya mambo yapo bongo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kijiweni kutamu aisee nimekuta wana story wako busywazee wa kubet
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kumbe ulikuja
Nisamehe mimi jamani
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Ndiyo wewe si nilijua hautaki kuonana na mimi[emoji41][emoji41]kwahiyo nikaja zangu kimya nikaondoka zangu kimya[emoji16][emoji16]tena nimekaa sana hadi nimezurura karibu wilaya zote.
Hujambo
Nemekununia
OoohhHapa numewakuta vijana wakiandika maneno hata sijayaelewa ndugu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji41][emoji41]apology accepted!
UnajuaNimefanya nini mie jamani??
HayaSijambo kabisaa
Hayapo hayo mama.Wasiwasi wa kibinadamu
Unacheka nini eti jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila ndiyo maana huwa naangalia na mtu wa kumuonesha maana ningemuonesha mtu kama Atoto za kwake angeona najaa kichwa kwahiyo angeacha ndiyo maana nilikuonesha wewe tu za kwako[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tabia mbaya
Ni nini eti jamani mdogo wangu mzuri mzuriSi kicheko hicho dada