Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Sasa wewe sema ni mikwara.Mama mkwe una mkwara...
Sasa wewe sema ni mikwara.Mama mkwe una mkwara...
Hapa numewakuta vijana wakiandika maneno hata sijayaelewa nduguUnaandika nini eti jamani
Huyo ulomuongelea ndio simfahamu.kwani auntie si ndio aweza kuwa mama mkwee
Kijiweni kutamu aisee nimekuta wana story wako busywazee wa kubet

kwahiyo nikaja zangu kimya nikaondoka zangu kimya
tena nimekaa sana hadi nimezurura karibu wilaya zote.
Kumbe ulikuja
Ndiyo wewe si nilijua hautaki kuonana na mimikwahiyo nikaja zangu kimya nikaondoka zangu kimya
tena nimekaa sana hadi nimezurura karibu wilaya zote.







Hujambo
Nemekununia
OoohhHapa numewakuta vijana wakiandika maneno hata sijayaelewa ndugu
UnajuaNimefanya nini mie jamani??
HayaSijambo kabisaa
Hayapo hayo mama.Wasiwasi wa kibinadamu
Unacheka nini eti jamani



ulitaka nifanyaje sasa?? Ila nitakuja tena jamani au umesahau kitakachonileta huko?? Sasa uringe tena!!
Tabia mbaya
Ni nini eti jamani mdogo wangu mzuri mzuriSi kicheko hicho dada