spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Leo tukuone na ww aisee kitamboTumezoa kwa hii mida inakuaga ni yako
Halafu wahindi tunafuata![]()
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Leo tukuone na ww aisee kitamboTumezoa kwa hii mida inakuaga ni yako
Halafu wahindi tunafuata![]()
Naona kuna mida ya kutupia live ndio naisubiri hapaWeeh usinambie Kumbe!! live ya nani???😳😳
Kila mtu anashangaa yaani. Alishatuzoesha vibaya. Tumekuwa kama majibwa ya Pavlov! Tukiona tu anaaga tunajua na picha ipo![]()
Unatafuta cha kukulea mjukuu wangu mtata?




babuuuh mie navisalimia tyuuh. Nimecheka mnoo lol.Njoo tupige picha kwanza 😅😅😅Hmmmm...nadhani unichagulie mwenyewe. Cha msingi isiwe seafood 🙂
Utanisevia nahisi nitakua nimesinzia tayari!Naona kuna mida ya kutupia live ndio naisubiri hapa
Mbona nishatupia na mpo hapohapo hamjaiona mjue!!!![]()
Ulipotea sana, nilihis umefichwa sehemu na jamaa fulan,Nipo dear sina pakwenda.mji umekuwa wa gharama mno na pesa hakuna
Akili zako unazijuaga mwenyewe



Madame anaanza halafu ndio nafuata..
Sijawahi kuwapenda watu wa race hiyo, sijui nawaonaje yaan.Ukikipata kimoja wapo unatulia tuli![]()






Haina Shaka mkuuMadame anaanza halafu ndio nafuata..
kweli tena nimeweka hapahapa hawajaiona!! Ngoja nitume tenaMadame toka lini umeanza mambo ya wige?
Shangazi tupia basi, mjomba afurahiMadame anaanza halafu ndio nafuata..