Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Mzee wa mchongo
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu
Sababu za kupima ni nini![]()
Ila wige


dah!Mzee wa mchongo
Unatakiwa ustaafu
Sio mnang'ang'ania maofisini
La mwisho si kwa umuhimu
Bado unapiga kavu
Sababu za kupima ni nini![]()


dah!HahaaaSio mbaya bado upo bomba


Ni hii uliweka asubuhi??
Sitaki ushahidi wa kuiona maana siku ikivuja ntaingizwa kwenye msala wa mvujo.









Leo umefuta mapema wakati siyo kawaida yako Binti Abiudi.Mida ya live bila chenga inakaribiaa![]()
Tunasubiri nimeweka kitiMida ya live bila chenga inakaribiaa![]()
Ubaya wako ukianza kuongea huna breki hata mtu akukwepe vipi. I am real trying hard not to respond to you here.Usije niingiza tena matatizoni bila mimi mwenyewe kujua
Hahha
HahaaaLeo umefuta mapema wakati siyo kawaida yako Binti Abiudi.
Nimekuta manyoya tu yaani watu wanasifia dah!
Utaselfika baadaye kama ulivyoahidi?Hahaaa
Poleee
Bila kuselfika tunalaleje boss ladyMlale unono wapendwa!!![]()
Leo unaaga kavukavu Boss Lady bila hata kapicha? Usimamizi wa mitihani umekuchosha? Anyway, lala salama!Mlale unono wapendwa!!![]()
Leo nimechoka nina mausingizi kama yote 😉! Haya nibariki walau naeza amka mkuu!Bila kuselfika tunalaleje boss lady
Leo unaaga kavukavu Boss Lady bila hata kapicha? Usimamizi wa mitihani umekuchosha? Anyway, lala salama!
Usiku mwema mkuu 😊Leo nimechoka nina mausingizi kama yote 😉! Haya nibariki walau naeza amka mkuu!