Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Uncle open your heart, Bwana Jehova ajae full pakaa juu utapa pumziko la hatari.. ni nyakati ngumu ila bila Yesu kufulika hotoboi mazeee 😅😅😅So sad ndo mwezi huu
Utarecover tu dear amini tu hivyo
Mwanzoni huwa si rahisi , muda utakupa jawabu sahihi .
Uchungu wa msiba hauzoeleki na unakuwa nao siku zote . Ni almost miaka saba toka mama aniache ila maumivu yapo tu siku unakaa unamkumbuka weh then life inaendelea tuh


