Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Shavu hiiihaaZoomed out View attachment 2216835
Shavu hiiihaaZoomed out View attachment 2216835
Nimeona nimeona
Leo ni siku ya kujilipua tu
Wazee tutajilipua mida ya popo maana JF isije ku freeze![]()


nimekoma mmRelax 🤣🤣😅😅😅 meshtukaaa
Macho kodooo
Kabisa mida yetu ileeeee!!!Nimeona nimeona
Leo ni siku ya kujilipua tu
Wazee tutajilipua mida ya popo maana JF isije ku freeze![]()
😁😁 Eeh Shangazi ndio maana tukija mjini tunafidia ma gape..Pole sana mjomba
Ila ndio kupambana hivyo...
Mbavu zangu sophy please 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Dimplez❤❤Zoomed out View attachment 2216835
Kweli wewe ni kibonge
Njoo nikufundishe diet
Ukikaa na Mimi mwezi tu unarudi 50


Sitaki kuamini kama nimeshindwa!! Au nimcall 🤦♀️Hahahaa
🤸♂️😋Dimplez❤❤
Mdogo mdogo
Hapa nikifumua hivi angalau vnitaweza kuzichana..zinalainika.
mifupa na urefu pia!!Mimi nina 74 na nimenyooka inadhani uzito uko kifuani aisee hadi kuhema siwezi![]()
Shangazi ile shepu yako matata niliionaMimi nina 74 na nimenyooka inadhani uzito uko kifuani aisee hadi kuhema siwezi![]()
Niwacheee 😂Shavu hiiihaa
Inabidi nifanye hima kuzitafuta ili nisipoteze nywele yoyoteUkijumlisha na zile bidhaa,mambo mazuri..

Unaweza kuruka kamba mara ngapi Kwa wakati mmoja.Nimepungua dear yaan mwepesisahiz na nataka nipungue tena
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nakula kiwango kidogo sanaUnavokula wewe!!!!!!! tena vitamu vitamu![]()


Mnifichie SiriMbavu zangu sophy please!!!
nimejuta Sana mliiona naomba msahau kilichotokea emoj imenisaliti niliweka pichambili emoj nikaweka yenye ndogo