Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,986
- 48,480
Nipo kwenye diet madam natak niwe portablekibonge mwepesi!!

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nipo kwenye diet madam natak niwe portablekibonge mwepesi!!

Mimi si unanijua snitch bwanaTieni bidii
Afu Kwanza nikuchambee
Tulikubaliana tunafunga mjadala wa pazia.. how comes watu tumelog out nyie mmefufua!?
Nini kwani? Kwani majadiliano yalikuwa ni show offs? Pazia zi zilitokea kwenye jokes tu?
Aweeeee pg nzima mmerudia pazia kama sio uchokozi nn? Fyuuu
Dogo ukijibu ndivyo sivyo nakupuuuuzaaa![]()





Kucha na rangi kama zako zile ulifugaga
Ila tumbo sio lako![]()








Hata sijui Shangazi inakuwaje 😎😎😎Saitakuaje?![]()
Weeehkinakaribiana na changu
Yeah unene sana sio poa kiivo!
Unafanya nini hapo mkononi??Hata sijui Shangazi inakuwaje 😎😎😎View attachment 2216834
😂😂😂 usnitch wako uwe na mipaka oohMimi si unanijua snitch bwana
Ni katika utani tu na boss lediii wetu,,legend mnanielewa
Mdogo wetu kazuuuuriiiiiiiiiiiiZoomed out View attachment 2216835






usnitch wako uwe na mipaka ooh
Na matani mie siwezi
Nayaleta mwenyewe
Yakikengeuka napaniki
Sasa nichokoze…
#Legendsmyfoot











Yeah unene sana sio poa kiivo!
Mie naona diet nimeshindwa sikuhizi nasikia njaa kama mchwa!!

mm nilikuwa na 

Ila nakula kidog na usiku pia sili vitu vizito😂😂😂😂 unamnanga hivi dadako?
Tunafanana hadi kucha
Aliiga rangi yangu
Dada mzuri,shepu Tako ila tumbo ya mheshimiwa.
Nimemsimanga sana jana
haya Saint Anne nawe Fanya kama hiviiZoomed out View attachment 2216835
Ni kipilipili jana nimesuka kama vi nziAsanteeeee... bado smile na nywele sasa!

NimeamuaaHii ilikua inakuja huku au imekosea njia?🤣🤣
Kasura kazurii😍😍
Vimekaa kama mkutano wa nzi 😂😂😂Ni kipilipili jana nimesuka kama vi nziView attachment 2216840