Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kama fidodidoNi kipilipili jana nimesuka kama vi nziView attachment 2216840



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama fidodidoNi kipilipili jana nimesuka kama vi nziView attachment 2216840



Kama huna mtoto subiria siku ya wanawake duniani.sawa cha ubishiAsanteeeeeeeee
😂😂😂😂 and vice versa… wanaonijua sasa.. watamshangaa huyu anae comment maana wataona ni watu mbili tofauti.Mtu hawezi kudhani kama ndio wewe unayechungulia funguo za gari kwenye mafriji ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona CH🤣🤣🤣Sitaki kuamini kama nimeshindwa!! Au nimcall 🤦♀️
Shida anaweza jikuta staa.. afu sasa!!
Me mwenyewe staa
Shoga angu staaa
Faza house staa
Bk staaa
Ch staaa
Boda wangu staaa
Aaaah mbona sasa nakosa pozi za kumpigia 🙄
Kahawa ndo nimenza juzi kutumia naweka na limao asubuhi jmn nitakuwa na tumbo 15 kiuno nyiguHongera endelea kujitahidi utatoboa.
Jitahidi uruke.zingatia chakula,ukiweza kupata black coffee n pamoja lemon juice it’s kusaidia sana kupunguza kitambi.kunywa vikiwa vya moto kila asubuhi na mapema b4 kunywa chochote
Kwa sasa ninapiga sarakasi aina moja mara nyingi niwezavyo.karibu



BravoNoted!!
Nasahauje. Nilicheka siku Ile daahand vice versa… wanaonijua sasa.. watamshangaa huyu anae comment maana wataona ni watu mbili tofauti.
Hujasahau tu tukio la friji na funguo
Endelea usikate tamaa.Kahawa ndo nimenza juzi kutumia naweka na limao asubuhi jmn nitakuwa na tumbo 15 kiuno nyigu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ilibaki ya mheshimiwa. Mkuu wa mkoa I namuhisi na mkuu wa mkoa M ndiyo sijammanya. Nitarudi tena, labda ntaambulia kituMama mchungaji zile code kule umeweza kuzifungua?
Ng'weeeee nini?
Ch we acha tu.. ni staa/ uwaridi/ kirusi 😩Mbona CH🤣🤣🤣
Mcall bana, ni mtu mpoa sema ugokonization unampa bichwa😆😆
Naomba unipe fidbak kama lisemwalo lipo
Nitajitahidi izo mboga za majani sasa HIV zinaomba pooEndelea usikate tamaa.
Zingatia chakula sana
lkn nashindwa kuacha kutumia maziwa fresh na mtindi hauna shida?Lilikuwa ni tukio la kushangaza 🤣🤣
CongratulationsPole
Au temana nae, maana majibu ndio muhimu.Ch we acha tu.. ni staa/ uwaridi/ kirusi 😩
Tutatokaje sasa?
Nimcall!? Hainiingii bado 😩
Ila majibu nitapata tu… simalizi masaa 48
😂😂😂😂😂😂😂😂 tutamdaka soonAu temana nae, maana majibu ndio muhimu.
Kama hayo unaweza pata bila kumcall mpotezee.
Sema nilimzoea au basi Ch yupo ataziba pengo🤣🤣
Ukimuona mpe hi mwambie nakuja huko soon 🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 tutamdaka soon
Ngoja niendelee kumtafuta
😂😂😂😂😂 AkiyananiNg'weeeee nini?