Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Kabisa mida yetu ileeeee!!!
Sawa sawa madam...
Kabisa mida yetu ileeeee!!!
Eeh Shangazi ndio maana tukija mjini tunafidia ma gape..
Kumbe ndio mnaanza mitihani eeh?Best of Lucky to all ACSEE candidates 💕
Saint Anne mtihani mwema dogo
Unaongelea nini nishasahau kabisa eti!!!Mnifichie Sirinimejuta Sana mliiona naomba msahau kilichotokea emoj imenisaliti niliweka pichambili emoj nikaweka yenye ndogo
Nimejuta Sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ndio dada, tunaanza kesho 🥰Kumbe ndio mnaanza mitihani eeh?
Mungu awe nawe.
Sisi wengine la 7 b Wala hatuna habari
Muupige mwingi hukoNdio dada, tunaanza kesho 🥰
Shangazi ile shepu yako matata niliiona
Umejazaia huku chini
Ah wapi!Kujazia wapi..
Nipo kihindi tu..
Inabidi nifanye hima kuzitafuta ili nisipoteze nywele yoyote![]()


Unaweza kuruka kamba mara ngapi Kwa wakati mmoja.
Nilikuwa mnene sana nikaanza kuruka kamba nikapungua.
Sasa ninafanya kazi ya kunenepa na kupungua.naweza kuruka Kamba 50 time mguu mmoja bila kupumzima.
Naomba nikuhakikishie ni kibonge mwepesi.
Jitahidi pia kufunga kunasaidia mno.
Nilifunga Kwaresma siku 34 mfululizo na zikanisaidia sana.komaa
Kamba huwaga siruki huwa nakimbia uwan kwetu Mar 50 jioni lkn kiuvivu sikumoja moja Asante nitajitahidUnaweza kuruka kamba mara ngapi Kwa wakati mmoja.
Nilikuwa mnene sana nikaanza kuruka kamba nikapungua.
Sasa ninafanya kazi ya kunenepa na kupungua.naweza kuruka Kamba 50 time mguu mmoja bila kupumzima.
Naomba nikuhakikishie ni kibonge mwepesi.
Jitahidi pia kufunga kunasaidia mno.
Nilifunga Kwaresma siku 34 mfululizo na zikanisaidia sana.komaa
Off course yes napunguza chakula.Unaruka tu kamba peke yake ?
Au na chakula unapunguza?
Hiyo picha sio ya leo, ni kibonge zaidi ya hapoZuriiii
Kama Umenenepa hivi![]()
Noted!!Off course yes napunguza chakula.
Asubuhi sana nakunywa Americano nachanganya na lemon juice inasaidia sana kupunguza kitambi
Hiyo picha sio ya leo, ni kibonge zaidi ya hapo

Off course yes napunguza chakula.
Asubuhi sana nakunywa Americano nachanganya na lemon juice inasaidia sana kupunguza kitambi
Ukitoka tu kidogo ni ushapitwaaaShangazi ile shepu yako matata niliiona
Umejazaia huku chini
Hongera endelea kujitahidi utatoboa.Kamba huwaga siruki huwa nakimbia uwan kwetu Mar 50 jioni lkn kiuvivu sikumoja moja Asante nitajitahid
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mtu hawezi kudhani kama ndio wewe unayechungulia funguo za gari kwenye mafriji ya watuZoomed out View attachment 2216835



