Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Kwanini mbuzi hutumii jamani.. mbona tamu sanaaa.. mie katika wanyama wa kufugwaa ninyime nyamaa zotee ila sio meeeee 😅😅 tutagombana
Kwanini mbuzi hutumii jamani.. mbona tamu sanaaa.. mie katika wanyama wa kufugwaa ninyime nyamaa zotee ila sio meeeee 😅😅 tutagombana
Ndyooooh
Endeleeni kukimbilia vocha.. ila muangalie msijikwae.Wewe niache kwanza nipoze fuvu ,stori zako za kotoni sijui curtain zimenichosha fuvu
Depal huyu huyu mm muda huo nishaolewa ndoa ya kwanza nikaachika
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app








Weee mbona tutaandamana sie 🙆🙆🙆🙆!!! Usiache mkuu hatutakutania wala kukuongelea tena boss wetu mbarikiwa!!🙏🙏😉😜Basi nimeacha kuanzia leo

Mtoto mnaa sana huyo…. Legends tunamuelewa 😂Unanisnitch?
Coca lile poz la track nikikaa mm kma ni mbao zinavunjikaaaaah wapi wee.



Niko poa mama, mzima?Leo umeadimika humu
Uko poa?
Coca lile poz la track nikikaa mm kma ni mbao zinavunjika
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app





unamuangukia had camera man,Weee mbona tutaandamana sie 🙆🙆🙆🙆!!! Usiache mkuu hatutakutania wala kukuongelea tena boss wetu mbarikiwa!!🙏🙏😉😜
Unifundishe kuslainisha kizungu shangazi


Chaaaa!!!
Hiki kipilipili,nakiangalia mara 2.
Ngoja tu nisuke kwanza
Wanasemaga eti nachuro tuachie misitu
Woiiiiiiiooh nimeibambaaa, bonge la picha yaan,Bana bana, picha nayoitaka inagoma. Ngoja nijaribu kwa mara ya mwisho
Strawbella
Saint Anne View attachment 2216799
Sent using Jamii Forums mobile app




Hahhaha navunja kilakituunamuangukia had camera man,