Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mzungu wa Uzi sasa🔥View attachment 2216776
Madame [mention]mahondaw [/mention] ni hii ya nywele
Kazi leo ni moto
Siku ya akina mama inasindikizwa na selfie za nywele 🔥
Mzungu wa Uzi sasa🔥View attachment 2216776
Madame [mention]mahondaw [/mention] ni hii ya nywele
Unifundishe kuslainisha kizungu shangaziView attachment 2216776
Madame [mention]mahondaw [/mention] ni hii ya nywele
Mama muzungu.View attachment 2216776
Madame [mention]mahondaw [/mention] ni hii ya nywele
Unasemaje dogo?Yule dogo na kapu zake basi anajiona yeye wa kwanza kufua pazia duniani
Watoto wanaochipukia Hawa muwavumilie jamani...🤣
Hutaona haya mambo Kwa wakongwe akina boss ledi
Mimi?Unanisnitch?
Sawa aunt yangu muzungu muzunguAsante sana![]()

Santo sana fashionist ✌️✌️😜Strawbella
Hii ya kitambo shangazi, sijui utakaelewa kamshono
Saint Anne nimeweka skuna tenaView attachment 2216782View attachment 2216783
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe bwana tulia hapo godauni😂😂😂😂😂😂Unasemaje dogo?
Depal huyu huyu mm muda huo nishaolewa ndoa ya kwanza nikaachika
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app


Nakuona unamchuria mgonjwaWewe bwana tulia hapo godauni😂😂😂😂😂😂
Mzungu wa Uzi sasa🔥
Kazi leo ni moto
Siku ya akina mama inasindikizwa na selfie za nywele 🔥
NakulaUnakula hayo mapupu ya kondoo mixer mbuzi![]()
. Japo mbuzi situmiiWewe niache kwanza nipoze fuvu ,stori zako za kotoni sijui curtain zimenichosha fuvuNakuona unamchuria mgonjwa
Jaman pic ya mshono iko wapi?Wewe hapo![]()
Basi nimeacha kuanzia leoBado hereni za makapu , magodauni na mapazia... Anaeuwa ni Mjep ndio mwisho wa yote hata kama ulikua unaandika story za makapu unastop kwanza anajua kutufunga midomo kisaikolojia😂🤣🤣🤣!!
Chaaaa!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂!! Bado zako sasa !!