Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Leo umeamuaa 😍- coca
- rafiki ake.
Jaman nyie navojibinua sasa yote nioneshe japo kashape uwiiiih
See u baadae. View attachment 2216760
Leo umeamuaa 😍- coca
- rafiki ake.
Jaman nyie navojibinua sasa yote nioneshe japo kashape uwiiiih
See u baadae. View attachment 2216760
Dada niache, hivi unajua akili zangu nazijua mwenyewe tyuuh.Shostito cocastic eeeh shepu la kuvunja chaga






Kesho ukianza timu nachuro aka misitu ya vipilipili unishtueTIPS kwa ufupi walioweka dawa nywele
Naandika kwa ufupi jamn
1.Chagua dawa inayoendana na nywele yako kma ni laini au wastani ama ngumu
2.Fanya deep contioner hii siyo steming ni kwaajili ya kulainisha nywele na kizifanya ziwe na unyevu nunua product nzuri OSHA nywele kwa maji baridi paka contioner funika na mfuko wa nailoni usikae kwenye Moto then osha endelea na mambomengine
3.wkat unazifanyia steaming pendelea kumassage kichwa na nywele kufanya product unzotumia ziingie vizuri
4.kata ncha
5.epuka kutumia vitu vya Moto Mara kwa Mara pas na blow-dryer
6.epuka misuko ambayo inakata nywele
7.Chagua mafuta rafiki kulingna na nywele zako
Niishie hapa kwa wenye nywele zenyew dawa ongezeen km yapo leo sikuyenu
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kipilipili?
Nitakitupia mwezi ujao tarehe kama ya Leo nikiwa nimekisukasuka angalau..kesho nikatafute hizo products mlizonishauri,,nianze nazo mwanzo nione.
Ayaaaa.....Tatizo anachelewa sana Mjep coca amerudia ya mieleka ya kichina!!
Hahahaaaa...sawa na akija akitaka irudiwe irudiwe bila ubishi ausio!



Kesho ukianza timu nachuro aka misitu ya vipilipili unishtue



nachuro heaNitapata tabu Mimi😂😂Mimi naanza kusuka
Yaani naanza na full package, kila kitu 🤣zishindwe nywele tu!
Kweli mwaka huu tunakula mema ya nchi.
Bado hereni za makapu , magodauni na mapazia... Anaeuwa ni Mjep ndio mwisho wa yote hata kama ulikua unaandika story za makapu unastop kwanza anajua kutufunga midomo kisaikolojia😂🤣🤣🤣!!Mara cocastic abinue tako moja
HS atupie skuna
Mambo ni hatari,Mimi nauzima Zima tu moto na kamwandiko angalau kananiokoa mwee
hivi kumbe umeweka nimepitwa??![]()
Ndiyo; hulionisasa nn jicho kungu kabisaa, usitake kinambia jicho km mvuta bangi, nitalia mie hapa
asante shangazi nipo hapa naisubiria 🙇🙇🙇Ngoja nikuwekee madame
Weka tuone.Ngoja nikuwekee madame