cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Shida ni ugumu na uwingi zikiwa ndogo alafu zamani nilikuwa nawahi kuziweka dawa nimeelewa miaka hii jinsi ya kuzitreat nywele zikae sawaIla ukifuga mbona nywele unazo jamani. Hao aunts zao Kila wanachoambiwa kupaka wanapaka, ila nywele zimewagomea kabisa
Nywele nzuri!Helow,selfikeni basiiiiiView attachment 2216721
Kigamboni kule kuna sehemu hivi ya kishua pana hotel, swimming pool, yaan bembea hizo.Unapambana sana
Hiyo bembea iko wapi na me niende





Zangu zikifika hapo naanza kuongea kihindiHelow,selfikeni basiiiiiView attachment 2216721


Aah oky wizoooNafuga wifi, na zina kaurefu ka kuwatamanisha tu aunts zangu. I guess napenda kusuka sana kuliko kuziachia
Hujaona za mama mchungaji HS aaauuwwwwww!!! ndefuuuuu afu nyeussssiii!!😘
Utatuma humuuu hadi baas, ndo km mie naweza beba nguo nyingi kwa begi, nikifka pale nabadili tyuu nguo na mapozi,We coca tukikaa pamoja ni tatizo,tunafanana kwenye hii hobby aisee!
Kesho naenda zangu location na nguo kadhaa,nipige picha mpk basi






finally 😘♥️♥️♥️
Nishapata MC wa harusi yangu bado bwana harusi sasa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app





🥰🥰finally 😘♥️♥️♥️
Nimejifunza kwako eti 😂😂Nimecheka kwa nguvu 🤣🤣🙈
Hizo tabia nawe umeanza lini?
Jack Palladino 😂😂😂😂😂😂😂Jamani humu ndani karibuni kwenye party
It's my babe's birthday jamani
The most handsome man in the world is born today
Hbd my sweetheart,my heartbeat,my honey,my soulmateJack Palladino
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
❤️❤️Leo nimekunyaka mrembooooh.![]()