Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,552
Make up nawee,





Mara ya kwanza nilijitajidi niliweka dawa zikiwa hapaView attachment 2216727
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sikuwezi shos.......🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kidukuuu kwa sanaaa.asante shos unanouga hataree
Ukishakuwa Shangazi lazima ujitahidi kuwa mbali na sukari kidogo 😅😅😅😅, huenda nikapunguza ulaji wa sukari mwezi ujao nibaki natumia sukari ya asiri tu.. ulaji wangu wa sukari nahisi umepitilizaEnjoy mjomba
Sikuhizi vitu vya sukari nakula kwa nadra sana...
I



Coca rudia ya track ile ya mieleka jamani!Make up nawee,![]()
Utatuma humuuu hadi baas, ndo km mie naweza beba nguo nyingi kwa begi, nikifka pale nabadili tyuu nguo na mapozi,![]()



Acha basi 😁😁😁 kahawa chungu kweli kweli na hawana kashata .. imebidi nitumie hii kupunguza makali
Nimekubamba ujicho sasa![]()
Hahaaa nimecheka
Hapana dearThe long wait is over, angalau tumekuona Leo. Ni half cast au?
Umeona ya mieleka aunt?? coca ana pozi nzuri sijawahi ona





ila wee shouzzzz jaman khaaahMzunguuu shangazi anguu.
Oooohhjpppsss kumbe ni mzunguuu bhana, awwww.

