Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh
Utadhani najua sasa rangi [emoji1787]

Wa ushuani hatuna shida na rangi..hata tukiweka za CCM zinakaa tu.
Shida ni vile Vistoo vyenu vinachagua rangi mno na Kuta zenu za rangi mbili kama wa Heaven Sent [emoji1787][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
Hahaha wewe mtoto ni mbayaaaaa😂😂
 
Asante mkuu

muwaheshimu na kuwapenda sana mama zenu kwakweli!
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦‍♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusika
 
Kabisa mkuu! Barikiwa sana
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦‍♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusika
 
Back
Top Bottom