Kweli kichwa changu kinafanya kazi, yaan nimekariri fasta no, na nimeingza.








Wahuni sio watu


Sina hata moja mchumbaUna bia ngapi hapo?
Hahaaa uko vizuriNshainyaka kitambooooh.![]()
Tusiandikie mate![]()
Mimi nimevaa hadi raizoni..
Scandinavia juzi tuu

Nakuta mentions kumikumi nikajua umeacha uchoyo, kumbe unatupooza na vocha. Ubarikiwe sana Mr vocha
Tusiandikie mate
Weka picha ukiwa umeitinga![]()


Hahaha wewe mtoto ni mbayaaaaa😂😂Duh
Utadhani najua sasa rangi
Wa ushuani hatuna shida na rangi..hata tukiweka za CCM zinakaa tu.
Shida ni vile Vistoo vyenu vinachagua rangi mno na Kuta zenu za rangi mbili kama wa Heaven Sent![]()
Shangazi nilikuwa nimeshatoka kanisani hapo, ngoja nifanye maarifaBaadae simama tuone mshono vizuri please
Kiatu ni![]()
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusikaAsante mkuu
muwaheshimu na kuwapenda sana mama zenu kwakweli!
Kweli dear ni kushukuru MunguUkijifungua Ukawa salama ni kushukuru sana mungu...kuna jirani hapa nikama amepararaizi mpaka leo .. ni baada ya kujifungua tu!!
Nafikiri mtu anae kuzaliwa wa kumuheshimu sana ( kwa ufupi mwanamke yoyote wa kuheshimiwa sana awe amekuzaa au hajakuzaa ) wanapitia mengi , kwa ambao tupo sensitive hizi story zenu kama maumivu nayaona mwilini mwangu. Hadi nime skip 🤦♂️.. wengine tukiona mtu anapigwa sindano au ana maumivu , inakuwa akama yanahamia kwangu najikuta na feel the same na muhusika
Shangazi nilikuwa nimeshatoka kanisani hapo, ngoja nifanye maarifa
Mungu akubariki...






Mm nitakuwa sio mtanzania mitandao yote imenipita looh


Hahaaa uko vizuri





yaan nilivo zoom zikajaa kwa kichwa faster ku scroll tyuuh.Mungu akubariki...
![]()