HongeraMnisamehe nimebanwa hapa hii nishapita nayo![]()
HongeraMnisamehe nimebanwa hapa hii nishapita nayo![]()
Watu wa voda uwanja ni wenu huu.
Wee nishaiweka Mie mbonaMbna vocha haipo sasa.
Ameshakua mzoefu huyo🤣🤣🤣
Wala mie situmii voda, nasubir halotel niikwapueWee nishaiweka Mie mbona
Mr vochaaaa
Inabidi nimtafute Mrs Vocha humu![]()

Hongera
Jambo jema sana hilo mkuu kama tayari ni muumini, hatumwachi mtu nyumaAmeshakua mzoefu huyo![]()



Nakuona unavyo refresh kila baada ya sekunde mojaWala mie situmii voda, nasubir halotel niikwapue
Kabisa.... picha watume kina Wigelekelo na wengineLeo sababu ya vocha ishu ya picha tunakukaushia...![]()
Bila kusahau chips zenye mayonaizMm mzee wa Azam embena grand malt sinaga mambomengi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Tatizo sitoipata, hapa sina cm ndogo ya kucopy, itanipita tyuuh,Nakuona unavyo refresh kila baada ya sekunde moja





Tena wewe
Hata wakati wa kutuma hela
Kwa Bus za Scandinavia
Ulikuwa hujazaliwa![]()



Hahaaa wanaidaka juu kwa juuTatizo sitoipata, hapa sina cm ndogo ya kucopy, itanipita tyuuh,![]()
Kaa mkao wa kula sasa nashusha dude sasa hiviTatizo sitoipata, hapa sina cm ndogo ya kucopy, itanipita tyuuh,![]()
Kalamu na karatasi pia huna?😅Tatizo sitoipata, hapa sina cm ndogo ya kucopy, itanipita tyuuh,![]()