Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Una bia ngapi hapo?Nitag basi mchumba wa kufa na kuzikana
Una bia ngapi hapo?Nitag basi mchumba wa kufa na kuzikana
Taratibu na Utulivu
Eeh shangazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niambie tu fasta ili nijue kama naweka kambi au nirudi chumbani kwa mama Eli tutafute last born wetu..[emoji1787]
Mr vocha huyoooooh.#tigo#
Heaven Sent
cocastic
sophy27
Saint Anne
Lenie
mahondaw
Na weingine kazi kwenu
View attachment 2216683
Ukijifungua Ukawa salama ni kushukuru sana mungu...kuna jirani hapa nikama amepararaizi mpaka leo .. ni baada ya kujifungua tu!!Kuzaa ni kujitolea uhai sio mchezo [emoji24][emoji24][emoji24]hata ukifatilia historia za matatizo menginya wanawake ni baada ya kujifungua
Utasikia mguu ulipooza baada ya kujifungua
Mwingine kibofu kililegea baaada ya kujifungua
Mishono isiyopona
Vifafa baada ya mimba khe nyie
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wale wa tigo#tigo#
Heaven Sent
cocastic
sophy27
Saint Anne
Lenie
mahondaw
Na weingine kazi kwenu
View attachment 2216683
Mr vochaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mr vocha huyoooooh.
Watu wa Tigo, fursa hii hapa. [emoji4][emoji4][emoji4]
Hebu mtafute tumuone yaan ufanye haraka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mr vochaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi nimtafute Mrs Vocha humu[emoji1787]
Kumbe ndio mada mezani, basi ngoja nikaendeleze kazi, huyu last born anakuwa mzito kuja..nitaomba mkemia mahondaw anipe abc za nini nifanye[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaa,nyie sasa mnatekeleza mada hii Kwa vitendo kabisa.
Asante mkuu wanotumia tigo washaiwahi juu kwa juu!#tigo#
Heaven Sent
cocastic
sophy27
Saint Anne
Lenie
mahondaw
Na weingine kazi kwenu
View attachment 2216683
Tena weweCheti cha mchongo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Tumeacha ngoja tuendelee kuselfika tu mkuu!Kumbe ndio mada mezani, basi ngoja nikaendeleze kazi, huyu last born anakuwa mzito kuja..nitaomba mkemia mahondaw anipe abc za nini nifanye[emoji1787]
Mbna vocha haipo sasa.
Mwee nimechelewa, tunaomba na halotel Mr Vocha#tigo#
Heaven Sent
cocastic
sophy27
Saint Anne
Lenie
mahondaw
Na weingine kazi kwenu
View attachment 2216683
Unavyopenda sasa hizo madaLeo tuko busy na mada za kuchanua misamba threatre
Mnisamehe nimebanwa hapa hii nishapita nayo [emoji23][emoji23][emoji1787]
Nyie endeleeni tu, naona kuna namna mnamshawishi Saint Anne aanze mechi za wakubwa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Tumeacha ngoja tuendelee kuselfika tu mkuu!