Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee acha kabisa
nikikumbuka nacheka sana
Tulikuwa hatujapishan Sana na dogo tulikuwa tunapigana balaa yeye mkorofi mm nilikuwa kimya mno alafu huruma Sana lkn akiamua tupigane atakuchokoza Hadi mpigane


Na mkipigana mama anasema waacheni wauane ndugu hao msiwaingilie
watu wanajaa nakumbuka tuliwah pigana nikabaki na bukta

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Duh ni hatari


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
uwiii
Kwahiyo hadi mtoto anatoka
Ndio unakomaa kusukuma lasivo unaua Mtoto weeee! Wakwanza nilijifungua kawaida sema nilikua nishapewa mbinu na marafiki... nilifumba mdomo nikashika/finya godoro mara kitanda huku nimefumba mdogo nagugumia ndani kwa ndani ...vile unavofumba nakugugumia ndani huku unavuta godoro kwanguvu inakusaidia kupush mtoto! Lakini uukiachia lazima upige makelele nguvu ya kupush inakua ndogo unaeza kaa muda mrefu!
 
Khaaah
eti wauane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…