Aisee acha kabisa
nikikumbuka nacheka sana
Tulikuwa hatujapishan Sana na dogo tulikuwa tunapigana balaa yeye mkorofi mm nilikuwa kimya mno alafu huruma Sana lkn akiamua tupigane atakuchokoza Hadi mpigane
Na mkipigana mama anasema waacheni wauane ndugu hao msiwaingilie
watu wanajaa nakumbuka tuliwah pigana nikabaki na bukta
Sent from my Infinix X650B using
JamiiForums mobile app