cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Hayo mambo mnayo wa kishua nyie
Huku sisi aisee miaka nenda miaka rudi hadi pazia liombe poo.






Hayo mambo mnayo wa kishua nyie
Huku sisi aisee miaka nenda miaka rudi hadi pazia liombe poo.






Hahaaa!!una nn leo eti? Mbna umechachuka sana?
🤣🤣🤣Nasubiria simu izimike 😂
Akija mgeni unatoa unamuwekea ajifunike.
Yaan hapo sasa ndo ikae cream, weee mbna kaka mkubwa lazima awehuke.
Akija mgeni unatoa unamuwekea ajifunike.
Atachagua yeye kipi Bora ;tufunike madirisha au ajifunike.







Tumefunga sita 🤦♀️🤦♀️Noma sana wewe sipati picha ukiwa mizagamuoni🤭🤭!! Una pozi hatareeee!
Jamani 🤣🤣🤣🤣una mix na red, iwe kituo cha kuchukua nyota za watu.
Uzuri wa tekno wereva hazikatagi chaji kirahisiNenda kachaji tekno hiyo![]()

Una ujinger mwingiiii 🤣🤣🤣🤣Akija mgeni unatoa unamuwekea ajifunike.
Atachagua yeye kipi Bora ;tufunike madirisha au ajifunike.
Shangazi bwana,eti toka niko BintiMimi kusema kweli coffee scrub sijawahi kufanya wala kutengeneza...
Mimi nina uso wa mafuta pia ...
Nikishanawa uso natumia cleanser ile ya eskinol baada ya hapo kama ni asubuhi natumia vitamin c serum na sunscreen nimemaliza...
Usiku cleanser,moisturizer na retin a sema imeniishia sasahivi ,chunusi zinatokea mara chache sana tena mbili tatu basi
Tafuta hiyo eskinol nzuri sana mimi naitumia toka niko binti halafu bei ya kawaida sana chukua ya lemon ndio nzuri...

Manyanyaso yanaendelea
Nilionaga mtu amepost memeUna ujinger mwingiiii![]()

🤣🤣🤣 yule fan wa simu nzuri nzuri tu. ..Uzuri wa tekno wereva hazikatagi chaji kirahisi
Yaaani hapa ni kuwasumbua tu na tekno yangu..ila Angalau hata hii tekno imenipunguzia manyanyaso ya Davet ya kuinyambua Infinix yangu kwa kuiita kabati.
Nini hizo???Tumefunga sita 🤦♀️🤦♀️
Asante ngoja niitafuteMimi kusema kweli coffee scrub sijawahi kufanya wala kutengeneza...
Mimi nina uso wa mafuta pia ...
Nikishanawa uso natumia cleanser ile ya eskinol baada ya hapo kama ni asubuhi natumia vitamin c serum na sunscreen nimemaliza...
Usiku cleanser,moisturizer na retin a sema imeniishia sasahivi ,chunusi zinatokea mara chache sana tena mbili tatu basi
Tafuta hiyo eskinol nzuri sana mimi naitumia toka niko binti halafu bei ya kawaida sana chukua ya lemon ndio nzuri...
Kwa chafya atakazopiga hapo,siku nyingine harudii kwenda kwa watu hovyo