Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazi mm nimepata pimples katk kipind Cha MP zimenikomesha zinaniachia makovu natka nitengeneze coffee scrub Ila sijaelewa namna ya kuchanganya upande wa mafuta coz ninauso wa mafuta pia Nina
Kahawa
Unga wa mchele
Nin kingine kitanifaa kwa usowang wa mafuta nikae sawa

Na usoni huwa natumia Dr rashell face serum pekee

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Mimi kusema kweli coffee scrub sijawahi kufanya wala kutengeneza...

Mimi nina uso wa mafuta pia ...

Nikishanawa uso natumia cleanser ile ya eskinol baada ya hapo kama ni asubuhi natumia vitamin c serum na sunscreen nimemaliza...

Usiku cleanser,moisturizer na retin a sema imeniishia sasahivi ,chunusi zinatokea mara chache sana tena mbili tatu basi

Tafuta hiyo eskinol nzuri sana mimi naitumia toka niko binti halafu bei ya kawaida sana chukua ya lemon ndio nzuri...
 
Back
Top Bottom