Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Mitumba ya miatano Tano yaanisquare nilikuwa naenda kupaka rangi na kupiga photoshoot za jero jero.
Ila zamani maisha yalikuwa rahisi sana
Natamani tu nirudi shule Mimi

Mitumba ya miatano Tano yaanisquare nilikuwa naenda kupaka rangi na kupiga photoshoot za jero jero.
Ila zamani maisha yalikuwa rahisi sana

Nguo za kuvaa mwilini zipo.Kwamba huna kitu cha black?






Ndiiioooooo....Hapana chezea bossi!!






hebu huyo boss akuje hapa kwan. MuiteeEwaaauna mix na red, iwe kituo cha kuchukua nyota za watu.
Nitumie hapa kile kigauni jamani!!Nguo za kuvaa mwilini zipo.
Ila sio mapazia, au mashuka khaaaa
![]()
square nilikuwa naenda kupaka rangi na kupiga photoshoot za jero jero.
Ila zamani maisha yalikuwa rahisi sana






Dark what? Dark blue sijui aiseeDark?,
Au ndo ya mgomba?![]()
Huogopi ???🤣🤣🤣😂😂😂!!hebu huyo boss akuje hapa kwan. Muitee
Nimeamini godauni hii tabia ya kuropoka hivi ni commonNakupuuuuzaaaa![]()
Mbna tunabadlisha jaman.We dirisha 4kubadilisha pazia maisha ya kuunga haya![]()
Kujaza tu hizo dirisha ni mtihani![]()




Noma sana wewe sipati picha ukiwa mizagamuoni!! Una pozi hatareeee!







una nn leo eti? Mbna umechachuka sana?Wee kasome kwan,![]()




Tayari kuleeeeNitumie hapa kile kigauni jamani!!
Hayo mambo mnayo wa kishua nyieMbna tunabadlisha jaman.![]()
Shangazi mm nimepata pimples katk kipind Cha MP zimenikomesha zinaniachia makovu natka nitengeneze coffee scrub Ila sijaelewa namna ya kuchanganya upande wa mafuta coz ninauso wa mafuta pia Nina
Kahawa
Unga wa mchele
Nin kingine kitanifaa kwa usowang wa mafuta nikae sawa
Na usoni huwa natumia Dr rashell face serum pekee
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nenda kachaji tekno hiyo 🤣
Sawa
Depal ananichelewesha na tujipazia twake.
Ngoja niondoke.
Muite aje hapa haraka.Huogopi ???!!





Dark greenDark what? Dark blue sijui aisee
Mgomba mchanga sijui