Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wacha yaan ni hatar. Siku sio nyingi nawakimbia.
Nimekumbuka kuna kipindi nilikwenda Makete; kwa lile baridi niliona Mbeya huwa tunatania kusema kuna baridi. Basi nikarudi zangu Uyole; nikawa nahitaji kitu town one time, nikasema ngoja tu nivae kishifoni hiki, so far kuna kajua na ninakwenda tu na kugeuza chaap. Jamani Ile nimerudi home, kilianza kikohozi hicho; nilikohoa hadi nikahisi nitakohoa na moyo sasa. Sikurudia huo usleikwini
 
Naona mlikuwa mnalinda Uzi usiibiwe mlilala lkn nduguzangu
Saint Anne Mama Junia wew ni wa kukesha kweli

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Auntie Junia kichwa kilinikalisha hiki
Nilikuwa najisuka Mdogo mdogo nikawaza nikilala bila kumaliza basi kuchana nywele zilizolala itakuwa kasheshe.
 
Binafs kwa huku nakoishi wapo lkn nisiseme uongo sijawahi chunguza sabbu ni ipi huenda wanawake wakawa ni sabbu

Lkn pia haimfanyi umpige had azimie kunanamna nyingi za kurekebishana..

Mapenz yamekuwa hayana mvuto na kikubwa heshima hakuna kwa pande zote hakuna heshima kwa mwanaume kwa mwanamkewake na mwanamke Hana heshima kwa mwanaume wake

Hakunatena kukosoana kwa adabu hakuna usiri hakuna kusikilizana Wala kubembelezana


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Maneno huwa ni fimbo nzuri.
Mtu anaweza kuongea kipole tu ila maneno yake yakakuchoma mno..
Huwezi kumnyosha mtu mzima kwa kumtandika ngumi
 
Back
Top Bottom