Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Aisee kunamwingine no mbabe hawez kubembeleza kabisa au kuongea kwa ustaarabu imagine mtu anampiga mwanamke Hadi anazimia na sio Mara moja nasikia alikuwa anampiga Sana tu hata kosa liwe lakeNa mwanaume ukiona amainua mkono hivi ujue pia amejikaza akashindwa na mwanamke amemdhihaki vyakutosha, wanaume asili yetu sio waongeaji ndiyo maana defence mechanisms yetu ni kutishia we nitakuzaba ukiendelea hapo he didn't mean a thing ila unapozidi sasa kuonyesha jeuri utomvu wa nidhamu ndiyo hatari inakua zaidi

nikamdunda kha sasa umemuudhi mwenzio apike aungue iyo hamu ya kula anaipata wapiZitafunguka tyuuh taratibu, soma kwa umakini afu tafakari.Umeniweza mzee mie
Na hivi ubongo una 1 kb una load mpaka basi
Ila zitafunguka tu taratibu...![]()





Mwanamke ambae umempata kwa maneno matamu na mazuri hadi akakubari, huna haja ya kutumia nguvu au kumuumiza, tumia hayo hayo maneno mazuri na matamu kumfanya utavyo.. ikiwapo kumjenga, kumrekebisha n.k.. atumie maguvu kaishapoteza kitu tayari bila kujua 😎😎😎Wapo sana sema wanawake hawasemi wanaogopa aibu...
Amina mtumishiMwanamke ambae umempata kwa maneno matamu na mazuri hadi akakubari, huna haja ya kutumia nguvu au kumuumiza, tumia hayo hayo maneno mazuri na matamu kumfanya utavyo.. ikiwapo kumjenga, kumrekebisha n.k.. atumie maguvu kaishapoteza kitu tayari bila kujua
Ulie mpata kwa maneno mazuri uta mmentain kwa maneno mazuri,
Ulie mpata kwa pesa utatumia pesa ku maintain
ulie mpata kwa mielekea utatumie mieleka ku mmentain![]()
Shangazi 1 kbUmeniweza mzee mie
Na hivi ubongo una 1 kb una load mpaka basi
Ila zitafunguka tu taratibu...![]()


Mwanamke ambae umempata kwa maneno matamu na mazuri hadi akakubari, huna haja ya kutumia nguvu au kumuumiza, tumia hayo hayo maneno mazuri na matamu kumfanya utavyo.. ikiwapo kumjenga, kumrekebisha n.k.. atumie maguvu kaishapoteza kitu tayari bila kujua
Ulie mpata kwa maneno mazuri uta mmentain kwa maneno mazuri,
Ulie mpata kwa pesa utatumia pesa ku maintain
ulie mpata kwa mielekea utatumie mieleka ku mmentain![]()




Shangazi kuna wavulana, vijana, wasela , na mwanaume . Hakuna mwanaume ( real man ) anaweza mchapa mke makofi na hakuna ubabe kwenye ndoa, kukishakuwa na hali ya ubabe kwenye ndoa jua tu hiyo ndoa haina maisha marefu na hata kama itakuwepo basi ni maumivu kwa upande mmoja. Uanaume sio ubabe , uanaume ni hekima ndio maana kichwa kama kichwa katika familia na hakina hekima tatizo hilo shangaziMjomba wanaume wengine ni wababe tu wa asili anaona akitumia maneno kama anajishusha vile...
Ila asilimia kubwa ya wanaume wanaopiga wanawake mimi naona wana tatizo la kutojiamini...
Violence at home must stop watu wengi wanakufa kisa vitasa, mwanamke akizingua mwanaume mwenye hasira nenda nje kapunge upepo ukirudi mambo yanakua shwariAisee kunamwingine no mbabe hawez kubembeleza kabisa au kuongea kwa ustaarabu imagine mtu anampiga mwanamke Hadi anazimia na sio Mara moja nasikia alikuwa anampiga Sana tu hata kosa liwe lake
Nilipomuuliza sababu akasema tukigombana akinuna hapikinikamdunda kha sasa umemuudhi mwenzio apike aungue iyo hamu ya kula anaipata wapi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Raha ya mapenzi umfumue bebi na kofi ukijua kabisa hawezi kurudisha maana akirudisha atakuumiza.
Sasa hii misukuma itakuwa inadunda tu wake zao kama ngoma badala ya kuwaachie wake zao ndio wawapige kidogo![]()


ngoja wakusukie AiseeeWapo sana sema wanawake hawasemi wanaogopa aibu...

Shangazi kuna wavulana, vijana, wasela , na mwanaume . Hakuna mwanaume ( real man ) anaweza mchapa mke makofi na hakuna ubabe kwenye ndoa, kukishakuwa na hali ya ubabe kwenye ndoa jua tu hiyo ndoa haina maisha marefu na hata kama itakuwepo basi ni maumivu kwa upande mmoja. Uanaume sio ubabe , uanaume ni hekima ndio maana kichwa kama kichwa katika familia na hakina hekima tatizo hilo shangazi
Ni heri Mara Mia utoke Tena km sie wengine tukilala tukiamka hasira zimeisha hainahaja ya ngumi Ila yule angeniua maana kunasehemu zangu ukinizingua lazima unidundeViolence at home must stop watu wengi wanakufa kisa vitasa, mwanamke akizingua mwanaume mwenye hasira nenda nje kapunge upepo ukirudi mambo yanakua shwari

Mwanaume alie matured huwezi kuta hata anazozana na mke wake. Mwanamke unaweza mjenga kwa maneno au ukambomoa kwa maneno 🥸Kweli kabisa mjomba...
Ulishaona wangapi madikteta?Wasukuma madikteta sana aisee.
Nilishaangaa eti kwenda kumsalimia ndugu yetu,ndugu yetu anasema mpigieni kwanza baba Fulani simu ya kuomba ruhusa ya kuja!
Chaaaaah!!!
Mimi nina dada yangu ameolewa naa msukuma...wakati wa kuondoka huwaga dada haruhusiwi kunipa nauli,ananipa yeye mwenyewe shemeji kudadeq.



Ati nini?Mwanaume alie matured huwezi kuta hata anazozana na mke wake. Mwanamke unaweza mjenga kwa maneno au ukambomoa kwa maneno 🥸




MisukumaRaha ya mapenzi umfumue bebi na kofi ukijua kabisa hawezi kurudisha maana akirudisha atakuumiza.
Sasa hii misukuma itakuwa inadunda tu wake zao kama ngoma badala ya kuwaachie wake zao ndio wawapige kidogo![]()





Wanaume wanaopigwa na wake zao wana mkutano kesho kule Kigamboni. Muende huko nao mkawape maneno ya kutia moyoShangazi kuna wavulana, vijana, wasela , na mwanaume . Hakuna mwanaume ( real man ) anaweza mchapa mke makofi na hakuna ubabe kwenye ndoa, kukishakuwa na hali ya ubabe kwenye ndoa jua tu hiyo ndoa haina maisha marefu na hata kama itakuwepo basi ni maumivu kwa upande mmoja. Uanaume sio ubabe , uanaume ni hekima ndio maana kichwa kama kichwa katika familia na hakina hekima tatizo hilo shangazi


