tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,246
Selfika 😊Helow![]()
Selfika 😊Helow![]()
Unitag 😊Hahahaaaa... usijali best nitarudia badae kidogo
Usiwaze mkuu!Unitag 😊
Oh yeah huwa ni mzuriUle PPF 2500...
Oh yeah huwa ni mzuri
hamna shida nasikia mafuta yameshuka bei diesel 1,500 na petrol ni 1,000 😴😴😴Hapo ndio shida
Ooh vyemaSanaa naupenda mnoo...
NdioKuch Kuch otae si ni wimbo huo?
Nipo na manzi anguhamna shida nasikia mafuta yameshuka bei diesel 1,500 na petrol ni 1,000![]()
Duh! mnaitaji maombi
HakikaDuh! mnaitaji maombi
Pole sana mjukuu. Naamini ulishapona na kuondokana kabisa na tatizo hilo...Oooh mirija ya damu kutoka kwenye moyo ilivyoziba,walinikataza nisitumie mafuta aisee, nilipata tabu,lakini nilishazoea
Chai kwa asali
Mboga kwa nazi au chukuchuku
,,msosi bila wese haunogi babu
Sent using Jamii Forums mobile app



Been to Hooters bro?It's got me thinkin' that her leavin'
Is the only logical reason
That I got the last spot in the Hooters' parking lot
And the waitress left her number on my check with a heart
She picked up on the first ring when I gave her a callView attachment 2215738




HafaiUkifatisha mambo ya wige utapata uchizi![]()
Kaa kwa utulivuHafai
Mmea. Marastafari wanadai ndo mmea ambao Adam na Eva walikatazwa wasiuguse pale bustanini.
Sasa nakitingishaje kijacho??Kaa kwa utulivu