Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hamna shida nasikia mafuta yameshuka bei diesel 1,500 na petrol ni 1,000
Nipo na manzi angu

Tunatafakari kwa kina
Screenshot_20220507-201230_WhatsApp.jpg
 
It's got me thinkin' that her leavin'
Is the only logical reason
That I got the last spot in the Hooters' parking lot
And the waitress left her number on my check with a heart
She picked up on the first ring when I gave her a call
IMG_20220507_202317.jpg
 
Oooh mirija ya damu kutoka kwenye moyo ilivyoziba,walinikataza nisitumie mafuta aisee, nilipata tabu,lakini nilishazoea

Chai kwa asali
Mboga kwa nazi au chukuchuku

,,msosi bila wese haunogi babu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mjukuu. Naamini ulishapona na kuondokana kabisa na tatizo hilo...

Ndiyo. Mafuta mengi siyo mazuri (hasa kwetu wahenga) japo vyakula vilivyokaangizwa ndo vitamuuu. Mara moja moja siyo mbaya lakini....

Nina daktari mkorofi hapa na mafuta pekee ninayoruhusiwa kutumia kwenye vyakula ni haya. Akiona cholesterol imepanda hata kwa point moja tu basi nitanuniwa hata mwezi. Hovyo tu!
20220507_132905.jpg
 
It's got me thinkin' that her leavin'
Is the only logical reason
That I got the last spot in the Hooters' parking lot
And the waitress left her number on my check with a heart
She picked up on the first ring when I gave her a callView attachment 2215738
Been to Hooters bro?

They serve decent burgers, chicken wings and fries; and the waitresses are always gorgeous
61bd09bcadc61c001812f194.jpg
 
Back
Top Bottom