Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli wasituchoshe
Kwani ni lazima kutumia mafuta jamani? Mafuta yanatajwa kuwa ndo kisababishi kikuu cha cardiovascular diseases duniani kote na hiki ndicho #1 killer duniani. Mamilioni ya maisha yanaweza kuokolewa kama watu wataacha kutumia mafuta. Mwezi mmoja tu wa kula chukuchuku unatosha kusafisha mishipa ya damu na kuondoa mrundikano hatari wa lehemu (cholesterol) mwilini.

Kwa kweli yaendelee tu kupanda!
 
Ngoja kwanza nikale bia kama 4 hivi kichwa kikae sawa nije nititirike hapa hapa, yaani mi najua kuimba.
Nilishawahi kumuimbisha manzi mmoja kitaa, kumbe kuna ka bibi kanatusikiliza dirishani, yule bibi ilibidi aingilie kati, uvumilivu ulimshinda nilisikia anasema "we dada, mh mkubalie tu huyo kaka".

Sasa leo Depal nakuimbisha mpaka ukubali, yaani leo ndio leo.
😂😂😂😂😂 yan kuimbisha tu mpaka ugonge tubia kadhaa?
 
20220507_183741.jpg
 
Kwani ni lazima kutumia mafuta jamani? Mafuta yanatajwa kuwa ndo kisababishi kikuu cha cardiovascular diseases duniani kote na hiki ndicho #1 killer duniani. Mamilioni ya maisha yanaweza kuokolewa kama watu wataacha kutumia mafuta. Mwezi mmoja tu wa kula chukuchuku unatosha kusafisha mishipa ya damu na kuondoa mrundikano hatari wa lehemu (cholesterol) mwilini.

Kwa kweli yaendelee tu kupanda!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ni lazima kutumia mafuta jamani? Mafuta yanatajwa kuwa ndo kisababishi kikuu cha cardiovascular diseases duniani kote na hiki ndicho #1 killer duniani. Mamilioni ya maisha yanaweza kuokolewa kama watu wataacha kutumia mafuta. Mwezi mmoja tu wa kula chukuchuku unatosha kusafisha mishipa ya damu na kuondoa mrundikano hatari wa lehemu (cholesterol) mwilini.

Kwa kweli yaendelee tu kupanda!
Kwa kweli bora tupunguze cholesterol mwilini. Sasa hivi utatusikia tu "dada kuwa makini, mafuta mengi sio mazuri kwenye chakula". Kumbe mambo yetu ya bajeti
 
Kwani ni lazima kutumia mafuta jamani? Mafuta yanatajwa kuwa ndo kisababishi kikuu cha cardiovascular diseases duniani kote na hiki ndicho #1 killer duniani. Mamilioni ya maisha yanaweza kuokolewa kama watu wataacha kutumia mafuta. Mwezi mmoja tu wa kula chukuchuku unatosha kusafisha mishipa ya damu na kuondoa mrundikano hatari wa lehemu (cholesterol) mwilini.

Kwa kweli yaendelee tu kupanda!
Oooh mirija ya damu kutoka kwenye moyo ilivyoziba,walinikataza nisitumie mafuta aisee, nilipata tabu,lakini nilishazoea

Chai kwa asali
Mboga kwa nazi au chukuchuku

,,msosi bila wese haunogi babu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani ni lazima kutumia mafuta jamani? Mafuta yanatajwa kuwa ndo kisababishi kikuu cha cardiovascular diseases duniani kote na hiki ndicho #1 killer duniani. Mamilioni ya maisha yanaweza kuokolewa kama watu wataacha kutumia mafuta. Mwezi mmoja tu wa kula chukuchuku unatosha kusafisha mishipa ya damu na kuondoa mrundikano hatari wa lehemu (cholesterol) mwilini.

Kwa kweli yaendelee tu kupanda!
Mafuta wanapambana hawa wa mjini, kuna maeneo mafuta bure kabisa na ni mazuri sana
 
Back
Top Bottom