Naa is Fearless KingNyani mzee![]()
Ngoja wapishi wajeWanauzaje kwani mafuta ya kula sasa hivi?![]()
😂😂😂 Ubarikiwe✍️✍️✍️.. Nitaanza fanya review kabla sija publish nisije kata wire siku moja 😊😊. Asante sana, usingesema nisingeshtuka
Wacha wee.Ngoja wapishi waje
Halafu nipo hapa
Karibu na pale
Nashusha
Kwendraaaaa
Unabisha?
Hapo ndio shidaNaa is Fearless King
Korie ya kupima litre ni 6400Wanauzaje kwani mafuta ya kula sasa hivi?![]()
Hatari mwaka huuKorie ya kupima litre ni 6400
Hayashuki yanacheza bei hapo hapoHatari mwaka huu
Kwa kweli wasituchosheTutachemsha tu hadi chipsi wasituchoshe![]()
HahahTutachemsha tu hadi chipsi wasituchoshe![]()


Hayashuki yanacheza bei hapo hapo
Mwaka jana kuna mtu alinunua mafuta litre 3 kwa 27000 hatukuamini tukawa tunamuambia amepigwa hapo sasa hivi tumeelewa aisee
Hahah
Chips yai mchemsho
Kuna challenge hiyo Facebook
Ooh yeahIle sundrop lita tatu ndio bei yake hiyo...
Ooh yeah
Haya yalikuwa korie kwa bei hiyo