Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ayeeee

🤣🤣🤣
Ngoja kwanza nikale bia kama 4 hivi kichwa kikae sawa nije nititirike hapa hapa, yaani mi najua kuimba.
Nilishawahi kumuimbisha manzi mmoja kitaa, kumbe kuna ka bibi kanatusikiliza dirishani, yule bibi ilibidi aingilie kati, uvumilivu ulimshinda nilisikia anasema "we dada, mh mkubalie tu huyo kaka".

Sasa leo Depal nakuimbisha mpaka ukubali, yaani leo ndio leo.
 
20220507_064243.jpg
 
Totally true. Nimejifunza kuwa Business Analyst in a matter of months yote kupitia Youtube na Udemy...nikafanya mtihani nikafaulu na kupata cheti. Remote contracts as a side hustle vijisenti vya kununua cheap wine havikosekani. There is so much free knowledge out there if you wanna truly change your life - either for fun or otherwise.
 
Back
Top Bottom