Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Hahaa!! Tatizo mkuu ana element za ki Pastor lazima atuite ofisini sasa Ndiomana tumeamua tunavaa kwa pamoja ili ajue hili jambo lipoo azoee.. mbona wenzetu wanatinga sana tuShouzzz tena muwa suplaiz siku ya mwisho ya NECTA, ili wakienda makwao waka wakumbuke sana.![]()




