Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
kwa hio unae boyfriend ama mme, hebu mkuu funguka kuna jambo fulani.Poa 😅😅
Ninae..
kwa hio unae boyfriend ama mme, hebu mkuu funguka kuna jambo fulani.Poa 😅😅
Ninae..
Ooh bora hivyoNataka nikatafute ukwaju na dawa
Nakushangaaa
Hata hujui kuchangia bill ya maji, ila lomoni sasa![]()







Hata masikio sijatoboa 🤣Kwendaaa
Uringe
Wewe makapu yale yanakutosha![]()
Ndiwooo
Hata king'amuzi sijui kulipia
Ila nipo timu gram 10 bwana,makapu msitubabaishe
Nina BFkwa hio unae boyfriend ama mme, hebu mkuu funguka kuna jambo fulani.
Kumbe ni X!
Maana nahisi linataka lianze TenaOoh bora hivyo

Uwezo wangu umeishia hapo



Siwezi kuwa timu kapuNdiwooo
Kaa na uwaridi unukie




Hata masikio sijatoboa![]()







Eeh pole wahi dawa tu hapoMaana nahisi linataka lianze Tena![]()
Subiri kukutwa na bwana pepsi
Kumbe kama Mimi!
Hata makapu Sina ila nasumbua tu watu.
Likizidi nitaenda hospital..Eeh pole wahi dawa tu hapo
Halafu uende na hospital endapo likizidi
Ipi hiyo?Subiri kukutwa na bwana pepsi
Anhaa kumbe kuna jamaa anafaidi mzigo, anhaaaNina BF
Ooh sawaLikizidi nitaenda hospital..
Ila nataka nijaribu kula kwanza, yawezekana ni njaa
AyeeeeAnhaa kumbe kuna jamaa anafaidi mzigo, anhaaa
halafu nikajua umeolewa, kama ni BF hio haipo serious saaaaanaa
hapo nahesabu jimbo halina mgombea, hio ni serikali ya mpito..
sasa ni hivi natangaza vita navamia nachukua jimbo la Mariupol kama Russia vile..
Kama shangazi vile 😎Kama mjomba vile...