Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Jiko lako safi, hongera kwa usafi.
Jiko lako safi, hongera kwa usafi.
Rafiki haionekani?Ipi hiyo?
Dah! Imenigomea wakati niko hapa hapa laivu dah!
Haipo irudie tenaRafiki haionekani?
Ushaiona ni ya mudaDah! Imenigomea wakati niko hapa hapa laivu dah!
View attachment 2214543

Ushaiona ni ya muda![]()
Khaaaaa!!! Urafiki utaisha ujue.Sijawahi ona picha yako hata moja!![]()
Ewaaa mrembo@cocastic View attachment 2214545

Ewaaa mrembo![]()

Ili mumuibe?Hebu mpost, usiogope bhana.![]()
Awapi Kamera tu inanipendelea dia mie choko tu !!

Ile style yetu 😍@cocastic View attachment 2214545
Mambo si hayooo❤❤@cocastic View attachment 2214545
Mashavu gani tenaKikubwa pumzi
Tukimiliki mashavu inatoshaView attachment 2214409
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Khaaaaa!!! Urafiki utaisha ujue.
Na wewe rudia best ulifuta haraka sanaEwaaa mrembo![]()
nimejikuta tu nacheka. Alaf unajua ugomvi wangu na wewe haujaisha. Em nifanyie wepesi basi.Siri ni ya mtu mmoja😂😂😂😂😂Tulikubaliana iwe kati yetu ndio mana sikuweza kumtaja nitakua namkosea.
Haya na wewe selfika basi muda sijakuona.