Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Hiv uliweka ile dawa mama? Au bado una kipilipili?Ile style yetu![]()
Hiv uliweka ile dawa mama? Au bado una kipilipili?Ile style yetu![]()
Mchumbaaaa 😂😂😂😂
Sikuweka aisee.Hiv uliweka ile dawa mama? Au bado una kipilipili?
Boy linatumika kuwakilisha jinsia tu mchumbaMchumbaaaa
Unaupiga mwingi,Ina maana wewe ni boy?

Kila mtu alishashika 50 zake mrembo wangu hamna hata haja tena. Utachapwa sasaSiri ni ya mtu mmoja
Njoo basi shoga uninong'oneze..
Huwezi jua naweza kukuambia kitu.
Selfie hiyo hapo
View attachment 2214556


Kumbe!Kila mtu alishashika 50 zake mrembo wangu hamna hata haja tena. Utachapwa sasa![]()
Khaaaaaa!!!!
Chaaaa!
Nipo hapaKumbe!
Basi njoo sasa tuongee![]()

nyie malasti boni ni wabishi sijapata ona.Tutaomba mods waweke batani ya viboko humu
Chaaaa!
Bora hata ungesema man jamani yemwee![]()


Naona umekuja kuniharibia kama kawaida yakoYaaniAnne unataka mwenzako nipigwe![]()


Ni mbaba huyu jamani hadi ameozesha binti yake😂
MhhhOndoa shaka na wasiwasi moyoni
ooondoa shaka na wasiwasi moyoni
kulwepuka hilo haliwezekani
ooh ntakushika leo na kesho peponi
yalaitii.....
tofauti....
sikuachi leo na kesho...
I I I love youuuuu
Yaani
Akukule
Muachane halafu akupige
Itakuwa mnapasha kiporo
Eboo foongooka
nilitania tu.Ni mbaba huyu jamani hadi ameozesha binti yake![]()


unaua kabisaNamwaga mboga.