Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Ooh!oky. W.end moja moja kutulia home pia ni vizuri.Nimelala maisha yamekuwa magumu ndugu..
Mdowezi hahaWala sijapitwa
Happy Sabath Tinsley![]()
Asante nawe piaBarikiwa mtemboo![]()
La Saba C
Asante sanaWala sijapitwa
Happy Sabbath Tinsley![]()
Wige wewe ni mkorofiKwamba
Ni mwanaume wa Daslum ya kinondoni![]()
nan kasema hizo wanakula tu wanaume wa Dar? Anakula yoyote bwana muone.Anne acha basi ujue unanichekesha nasumbua watu hapaWe boy gani anakuwa mbaba na midevu anagonga mijack daniels

UmeanzaJiko lako safi, hongera kwa usafi.

Waitii🥰
Ugomvi huo hautakaa uishe mpaka Yesu Arudi tu atuamue!nimejikuta tu nacheka. Alaf unajua ugomvi wangu na wewe haujaisha. Em nifanyie wepesi basi.





