Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,297
Sitaki hadi ufute kauli...
Nitumie yangu pm bana...
Si unaona ulivyo mjanja mjanja jamani
Nitumie yangu pm bana...
Si unaona ulivyo mjanja mjanja jamani
We hujui kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake? Unakubalije kushindwa haraka hivyo?Hahah...
Mi meambiwa mjanja mjanja, memwachia aende kwa wapole wapole![]()
Lipi hilo?Alaa tuko vizuri ila najua hatujawazidi kabila fulani hivi kule juu
Wapi?Dooh hiyo sentensi yako imenikumbusha mbali
Wa kulia utakuwa wewe!!!!!
Unataka niwe nalia kila siku





We hujui kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake? Unakubalije kushindwa haraka hivyo?
Haya DiasporaUSA ushindani hakuna tena. Beba wote Karma na Sakayo
Furaidei lodingiView attachment 1250464
She may come back just to buy timeHahah una maneno wewe...
I just letttin her go if she comes back she's mine forever...

Semegi naomba hivi viatu nikahonge.Furaidei lodingiView attachment 1250464
Mbona sijaona jamani
Amen
Aisee. Umetumia vigezo gani labda ?

Au na wewe hauwezagi kubembeleza mwanamke??(Joke)
Lipi hilo?
Wapi?
Mie nabembelezwa kwa pesa, nalainikaaaa.Mbona Atoto alituma tena eti?? Hukumuomba tu kama alinitumia mimi asingeshindwa kukutumia wewe!!
Sisi wanawake tukibembelezwa na ninyi mbona huwa tunalainika jamani??Au na wewe hauwezagi kubembeleza mwanamke??(Joke)