cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Mimi wala siyo boss
Kuna ma boss wazito humu ndani ungejua
Mimi mrugaruga tu





wao maboss wa wengine. Wee ni boss wangu mie.
Mimi wala siyo boss
Kuna ma boss wazito humu ndani ungejua
Mimi mrugaruga tu





wao maboss wa wengine. Shouzzz mie mzungu wapi?
Unanijaza mnooo. Ntavimba hadi moyoo ujue. Uwiiiiih
Vimba tu shos kiukweli unabamba sana!!





bas sawa ngoja nivimbe tyuuh shouzz.Hahahaaaa!!! Airtel ni nyokko staili gani za kutoana utumbo hivo!!![]()





hiyo style vibaya vibaya, mkunyenge unatokea mdomoni, khaaaahWapi hiyo babuuuh yake?



selfika mmeniharibu mwenzenu!🤣🤣🤣
lView attachment 2209496
The aerial view of Amani Karume stadium 🏟️
Tukomesheeee babuuuh.




Afu mzuri balaah, sijui kwann hatutendei haki.Alituma mara moja tu nadhani!