Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,837
- 57,473
Karibu Kijijini Mjukuu 🤪Eid inasemaje babuuuh.
Karibu Kijijini Mjukuu 🤪Eid inasemaje babuuuh.
Mapema sana nitatia timu nishaanza kujiandaa hapoNjoo Kijijini Mjukuu, nimechinja Bata na Bibi yako hapa![]()


Wee shouzzz mbnaa hiyo kitu nimeielewa rangi yake. Aseeeeehcocastic mtoko wangu wa Eid naupiga pasi mapema badae tanesno wasiniletee vipengele!View attachment 2209548
Karibu sanaMapema sana nitatia timu nishaanza kujiandaa hapo![]()
Hebu assume km nipo kijijini, nifurahi mjukuuu.Karibu Kijijini Mjukuu![]()


Enzi hizo naenda Mjini kuwasalimia Watoto 🤪🤪Wapi hiyo babuuuh yake?![]()
Pitia nyumbani, tumechinja Bata na Mbuzi kwaajili ya wageni. Karibu sana Mjukuu 🤪Hebu assume km nipo kijijini, nifurahi mjukuuu.![]()
Umeanza kunijaza mapema shouz!!!😂😂🤣Wee shouzzz mbnaa hiyo kitu nimeielewa rangi yake. Aseeeeeh
Leo mtoko ni heavy, mweeeeh.
Ahsanteeeh sana babuuu ake.Pitia nyumbani, tumechinja Bata na Mbuzi kwaajili ya wageni. Karibu sana Mjukuu![]()
Unatoaga wewe utumbo?Hahahaaaa!!! Airtel ni nyokko staili gani za kutoana utumbo hivo!!![]()
Jipodoe na upodoke shouzzz, ukiweka picha hapa had selfika itikisike yaan,Umeanza kunijaza mapema shouz!!!
Badae usikose lazima nitupie humu leo nitajaribu kujipodoa nione!




MmmmmhUnatoaga wewe utumbo?

utumbo kama utumbo hapana aseee!!!Unatoaga wewe utumbo?